OBAMA RAIS WA MAREKANI NI MTANZANIA

OBAMA RAIS WA MAREKANI NI MTANZANIA

gwantemala

Member
Joined
Aug 9, 2016
Posts
22
Reaction score
5
Baba yake obama alitoka Tanzania miaka ya 50 iliyopita katika kijiji cha masara nchini Tanzania kipindi hicho Tanganyika wilaya ya Rorya yy pamoja na mkewe SARA wakaelekea kule kijiji cha kogelo kwa hiyo kama ni asili ya baba mtoto ufuata basi babake OBAMA alizaliwa Tanganyika hii habari hata mhe philimon sarungi aliyekuwa MP Rorya constituency alilithibitishia bunge la Tanzania ido rember it was 12am during parliament sesion
 
Kweli kenya hawafai kwa uwizi hadi obama walisema wakwao!duuuhh watasema na pombe mkenya sasa
 
Mbona kama hii taarifa imechelewa?
 
Haina maana yoyote!! Hata kama angekuwa verified kama Mtanzania/mtanganyika ingetusaidia nini? Hapa unatupa kazi isiyo na maslahi ya kuanza ku search authenticity ya hoja yako,whether it is or not it still remain useless,wakenya wenyewe hawajui faida ya Ukenya wa Obama!! It's dead &gone
 
too late to apologize

Mike Tyson walisema ni Mbongo
 
Baba yake obama alitoka Tanzania miaka ya 50 iliyopita katika kijiji cha masara nchini Tanzania kipindi hicho Tanganyika wilaya ya Rorya yy pamoja na mkewe SARA wakaelekea kule kijiji cha kogelo kwa hiyo kama ni asili ya baba mtoto ufuata basi babake OBAMA alizaliwa Tanganyika hii habari hata mhe philimon sarungi aliyekuwa MP Rorya constituency alilithibitishia bunge la Tanzania ido rember it was 12am during parliament sesion
dah...mkuu unatafuta sindano kwenye sakafu ya Atlantic?
 
Baba yake obama alitoka Tanzania miaka ya 50 iliyopita katika kijiji cha masara nchini Tanzania kipindi hicho Tanganyika wilaya ya Rorya yy pamoja na mkewe SARA wakaelekea kule kijiji cha kogelo kwa hiyo kama ni asili ya baba mtoto ufuata basi babake OBAMA alizaliwa Tanganyika hii habari hata mhe philimon sarungi aliyekuwa MP Rorya constituency alilithibitishia bunge la Tanzania ido rember it was 12am during parliament sesion
We unashangaa Obama mbona Hilary Clinton ni mnyantuzu kwao bariadi
 
dunia nzima ni wa eastafrica, huku ndo homo sapiens walianzia, so what.
 
Back
Top Bottom