OC - CID Mafwele ni nani? Kwanini haguswi na uhamisho wa Polisi nchini?


Kumbe majini yalikuwa yanatuzwa kwenye chupa. Tunashangaa nini sasa? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 . Majini ya senema za kinaigeria
 
Huyu kibaka kumbe malalamiko dhidi yake yameanza zamani sana na vyeo anapandishwa tu. Jeshi la polisi wajikague sana wanalea watu waovu sana.
 
Kiongozi huyu wa jeshi la polisi amekuwa akilalamikiwa kwa kiasi kikubwa kwa kukandamiza haki za raia kwa mfano kuwatia ndani baadhi ya watu ambao ana ugomvi nao bila sababu za msingi.

Mafwele amekuwa akilalamikiwa kwamba anazuia watuhumiwa wasipewe dhamana kwa jeuri yake hata kama dhamana ni haki ya mshtakiwa.

Analalamikiwa kwa tuhuma za rushwa ambazo amekuwa akiomba kwa baadhi ya watuhumiwa na pindi wanapokataa kumpa huwabambikia kesi mbalimbali.
 
Mafwele kumbe kaanza ukatili zamani sana!! Na wakubwa hawakusituka
 
Hapo kuna mawili! Ukute yeye Ndio kiboko ya mitandao ya majambazi ya Arusha ; Sasa wanatengeneza fitna atolewe jeshi lipoteze dira na majambazi kujipanga na kuanza kusumbua!! Au hizo tuhuma ni za kweli!!
Pengine hiyo ya pili ndio sahihi, tukianza na huo ukwasi alionao ni nadra sn kwa polisi mwenye maadili ya kazi yake kuwa na ukwasi huo alionao kama ni kweli anamiliki huo ukwasi.
 
Kuna vice mmoja pale st.thomas more college kwa Sasa IHUNGO BOYS HIGH SCHOOL miaka ya 90's
Umenikumbusha Hilo li jamaa lilikuaga katili na miwani zake. Kuna binadamu wameumbwa kua makatili Sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…