OC - CID Mafwele ni nani? Kwanini haguswi na uhamisho wa Polisi nchini?

OC - CID Mafwele ni nani? Kwanini haguswi na uhamisho wa Polisi nchini?

Rushwa nchi gaina utu hii huyo ana mtandao wake tayari wa uharifu
 
Kama mnakumbuka mwaka juzi Mafwele
alipigwa risasi ya bega la kulia na majambazi
na tetesi zinasema kuwa aliwazunguka katika
mgao wa fedha walizopora katika hoteli ya
Kibo Palace ambayo ni mali ya tajiri Laswai.


Kumbe ilibaki kidogo majambazi waupige mwingi.
 
Suala maeendeleo nila mtu na MTU, pesa ile ile tatzo matumizi.
Kumbe kunawatu wanafurahia kuwaona watu wakiwa maskin.
Hatimaye Mafwele mwana JF mwenzetu alijitokeza hapa kukanusha tuhuma zinazowahusu kipindi kile.

Je atakuja tena kukanusha kuhusu kuhusika na mauaji na ukatili dhidi ya Binadamu?
 
mleta mada ninazidi kuwa na wasiwasi na wewe maana ukileta mada zinakuwa ni za majungu na uzandiki
mfano: last year ulileta thread kuhusu wale wadada mapacha watumishi wa tra, kumbe ni uzandiki tu huna hoja umejaa majungu
Obama hatimae yametimia
 
Arusha tunalala sasa wasikukatishe tamaa umedhibiti ujambazi na uporaji mchana kweupe sasa mji n shwari asiseme mtu kitu . Hongera Mafwele tunakutegemea kuwa rco Arusha
Inawezekana kuwadhibiti majambazi, sasa wanataka wamsagie kunguni
 
MWISHO MBAYA WA KACHERO ALIYEOGOFYA HATA MAMLAKA ZILIZOMTUMA KWA SIRI

Nikisikiliza stories za wakongwe walioishi enzi zao zamani kuhusu askari aliyetisha Patrick Shaw wa jijini Nairobi Kenya


View: https://m.youtube.com/watch?v=HaH3B7psAUY

Former Special branch officer James Khwatenge gives a highlight on the life of the legendary police reservist, Patrick Shaw and a hit job that did not go as planned.

Patrick Shaw used street boys, also known as ‘Parking Boys,’ as spies in his network and he brought many into the Centre to be reformed. Besides using them to assist him in his police work and as spies, Shaw encouraged suitable students to enlist in the police, especially those who did not qualify for college.

These former students would become integrated into the Nairobi’s ‘Flying Police’ nicknamed ‘Mr Shaw’s Flying School,’ recalls one former Nairobi resident.


Involved in many extra-judicial shootings - he would shoot criminals on the spot.
It is difficult to estimate how many suspected gangsters Shaw gunned down. “Literally hundreds,” one acquaintance estimates. “At least one fatality a week.”

But it was obvious to Shaw’s friends and colleagues that in the last months of his life Shaw’s health was deteriorating. On 14 February 1988, while visiting the house of a friend named David Rowe, Shaw’s heart failed. It is said he was reading a paper when he stood up shouting and fell to his knees, his gun still in its holster. He was rushed to Nairobi Hospital where he was pronounced dead. He was 52.


The Many Mysteries of Patrick Shaw


View: https://m.youtube.com/watch?v=WPchoRWq1qY
Patrick Shaw Untold Story: The inside story of the legendary Nairobi super cop Patrick Shaw. A biographical detailed documentary of the man starting with his early days and arrival in Kenya during the Mau Mau and emergency years to his deep involvement in Kenyan politics in the 1980s. In the end it is brutal Kenyan politics that killed him. He should have just stuck to being an extra-ordinarily good cop.
 
Kama mnakumbuka mwaka juzi Mafwele
alipigwa risasi ya bega la kulia na majambazi
na tetesi zinasema kuwa aliwazunguka katika
mgao wa fedha walizopora katika hoteli ya
Kibo Palace ambayo ni mali ya tajiri Laswai.


Kumbe ilibaki kidogo majambazi waupige mwingi.
😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom