OC - CID Mafwele ni nani? Kwanini haguswi na uhamisho wa Polisi nchini?

Duuh! Ndo yeye mkuu!
 
Duuh
 
Sawa labda uko sahihi! Tuache hapo! Yuko wapi sasa? Una fuatilia?
Kwanini unamuuliza kama anamfuatilia Mafwele? Amekwambia amesoma naye na kwamba alikuwa mkatili sana akiogopwa kama head prefect, wewe ukasema siyo yeye. Kwamba ni mdogo wake.

Kakuhakikishia kwamba ni yeye, wewe unamuuliza tena kama anamfuatilia.

Fishy.
 
Na yeye amemwambia huyo ni kaka yake, na Kwa umri wa Mafwele (47 years hawezi kuwa amesoma sekondari katikati ya miaka ya 80 (simjui ila najaribu kujakata umri wa Mafwele na majibizano ya hawa jamaa)....unless kama alimaanisha katikati ya 90s ndo Ina tally na umri wake)
 
Is it ? Mafwele wa 2 wamepita same school muda usiozidi miiaka 6....anyway sio issue and its not fishy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…