we fala nyege zinakusumbua eti nani aniombe nisaidie upuuzi.Ukiombwa ukasaidie ili atiwe hatiani una ushahidi au una copy na kupaste tu?
Sawa sawaN
we fala nyege zinakusumbua eti nani aniombe nisaidie upuuzi.
Haya yanayozungumzwa humu hayajathibitishwaMwaka 2018 niliwahi kukutana Na faustine akiwa Rco wa mwanza, aisee ukiwa unazungumza nae jamaa ni mpole sana Na smart sana..huwezi kudhania haya yanayozungumzwa humuView attachment 3095701
HuhuMafwele kiboko ya majambazi Arusha,viva IGP kwa kumuacha Arusha.
Itakuwa hivyo mkuu.Hata RPC anamuogopa?!
Tutajuwa tu id zqko zote.Arusha tunalala sasa wasikukatishe tamaa umedhibiti ujambazi na uporaji mchana kweupe sasa mji n shwari asiseme mtu kitu . Hongera Mafwele tunakutegemea kuwa rco Arusha
Duuh! Ndo yeye mkuu!Huyu jamaa ni huyo huyo ninayemfahamu alisoma Geita Sec. Miaka ya 80' katikati? Mafwele ni Mkara, alikuwa katibu wa shule na alikuwa katili sana kiasi vijana wa kidato cha kwanza tulikuwa tunamwogopa utafikri naye ni headmaster! Kama ndo yeye basi kumbe watu huwa hatubadiliki!
DuuhMafwele amekuwa akilalamikiwa kwamba anazuia watuhumiwa wasipewe dhamana kwa jeuri yake hata kama dhamana ni haki ya mshtakiwa.
Analalamikiwa kwa tuhuma za rushwa ambazo amekuwa akiomba kwa baadhi ya watuhumiwa na pindi wanapokataa kumpa huwabambikia kesi mbalimbali.
HahahaTutajuwa tu id zqko zote.
Tutajuwa tu id zqko zote.
The end.......the meaning.mleta mada ninazidi kuwa na wasiwasi na wewe maana ukileta mada zinakuwa ni za majungu na uzandiki
mfano: last year ulileta thread kuhusu wale wadada mapacha watumishi wa tra, kumbe ni uzandiki tu huna hoja umejaa majungu
Kwanini unamuuliza kama anamfuatilia Mafwele? Amekwambia amesoma naye na kwamba alikuwa mkatili sana akiogopwa kama head prefect, wewe ukasema siyo yeye. Kwamba ni mdogo wake.Sawa labda uko sahihi! Tuache hapo! Yuko wapi sasa? Una fuatilia?
Alafu sijui ni ndugu yake maana last seen ni 2018Yaani huyu tangu ajiunge JF alicomment hapa tu?
Na yeye amemwambia huyo ni kaka yake, na Kwa umri wa Mafwele (47 years hawezi kuwa amesoma sekondari katikati ya miaka ya 80 (simjui ila najaribu kujakata umri wa Mafwele na majibizano ya hawa jamaa)....unless kama alimaanisha katikati ya 90s ndo Ina tally na umri wake)Kwanini unamuuliza kama anamfuatilia Mafwele? Amekwambia amesoma naye na kwamba alikuwa mkatili sana akiogopwa kama head prefect, wewe ukasema siyo yeye. Kwamba ni mdogo wake.
Kakuhakikishia kwamba ni yeye, wewe unamuuliza tena kama anamfuatilia.
Fishy.
Is it ? Mafwele wa 2 wamepita same school muda usiozidi miiaka 6....anyway sio issue and its not fishyKwanini unamuuliza kama anamfuatilia Mafwele? Amekwambia amesoma naye na kwamba alikuwa mkatili sana akiogopwa kama head prefect, wewe ukasema siyo yeye. Kwamba ni mdogo wake.
Kakuhakikishia kwamba ni yeye, wewe unamuuliza tena kama anamfuatilia.
Fishy.
Evidence?Mafwele ni mpokea rushwa wa kutishaaa na anakalia ile ofisi kwa matunguli tupu