OCD inanitesa, sijui nifanyeje!

OCD inanitesa, sijui nifanyeje!

Pole sana mkuu, napitia changamoto kama hii yani kwangu ni severe haswaa iko mixed na health anxiety disorder, naona watu wanakudhihaki hapa ila hawajui kua ni ugonjwa mbaya sana na ndo maana mara nyingi nashindwa hata kuwaeleza watu kwasababu wanaishia kudhihaki tu, nipo kwenye stage ambayo hata kutoka chumbani ni changamoto kila kitu naona kipo contaminated nje ya chumba, ningependa kujua umepata solution gani hadi sasa inaweza kunisaidia na mimi
Hapo tiba ni therapy tu, nayo pia siyo 100% ila kama hali ni mbaya zaidi therapist ndiyo anaweza kukushauri kutumia anti-depressants.

Yaani, unachopitia nakuelewa vizuri sana. Haupo peke yako, hapa JF na hata kwa jamii kwa ujumla bado hawana elimu kuhusu afya ya akili: ukimuelezea mtu shida unayopitia hawezi kukuelewa.

Jaribu kupitia community ya OCD kwenye Reddit, pia. Huko ndiyo huwa najifunza zaidi kupitia watu wenye changamoto hii.
 
Hapo tiba ni therapy tu, nayo pia siyo 100% ila kama hali ni mbaya zaidi therapist ndiyo anaweza kukushauri kutumia anti-depressants.

Yaani, unachopitia nakuelewa vizuri sana. Haupo peke yako, hapa JF na hata kwa jamii kwa ujumla bado hawana elimu kuhusu afya ya akili: ukimuelezea mtu shida unayopitia hawezi kukuelewa.

Jaribu kupitia community ya OCD kwenye Reddit, pia. Huko ndiyo huwa najifunza zaidi kupitia watu wenye changamoto hii
Unajiuliza na kujijibu mwenyewe. Upo vizuri sana sekta zote. Nashauri onana na mwanasaikolojia bora kabisa afrika mashariki na kati Shimba ya Buyenze. Huyu ni bingwa wa magonjwa haya ya akili.
 
Hapo tiba ni therapy tu, nayo pia siyo 100% ila kama hali ni mbaya zaidi therapist ndiyo anaweza kukushauri kutumia anti-depressants.

Yaani, unachopitia nakuelewa vizuri sana. Haupo peke yako, hapa JF na hata kwa jamii kwa ujumla bado hawana elimu kuhusu afya ya akili: ukimuelezea mtu shida unayopitia hawezi kukuelewa.

Jaribu kupitia community ya OCD kwenye Reddit, pia. Huko ndiyo huwa najifunza zaidi kupitia watu wenye changamoto hii.
Asante nataka kuanza session j3 hii aisee maana nipo kwenye crisis, ngoja nikapite na huko reddit
 
Back
Top Bottom