OCD Mbeya mjini acha chuki binafsi kwa SUGU, kuwa makini usiuletee mji matatizo. Jifunze!

OCD Mbeya mjini acha chuki binafsi kwa SUGU, kuwa makini usiuletee mji matatizo. Jifunze!

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,252
Reaction score
8,003
Wasalaam wajumbe humu!

Leo hii kila jimbo ambapo CCM wamechukua form za ubunge na udiwani maeneo mengi nchini wameandamana kwenda ofisi za NEC.Lakini huyu OCD wa mji wa Mbeya sijui kaishia darasa la ngapi, nimeona live akiongea maneno yaliyojaa chuki dhidi ya SUGU eti akidai ana heshima gani atamvunjia heshima.

Huyu OCD alisikika eti anakamata Sugu kwa kufanya maandamano, haya na leo aliambia umma hicho wanachokifanya CCM kwenda ofisi za NEC ni nini?

Yaani haya ndiyo madhara ya kuwapa wati mamlaka hawajui sheria na shule zao haziruhusu. Yaani yeye anajua polisi ni kukamata tuu.
 
Wasalaam wajumbe humu!

Leo hii kila jimbo ambapo CCM wamechukua form za ubunge na udiwani maeneo mengi nchini wameandamana kwenda ofisi za NEC.Lakini huyu OCD wa mji wa Mbeya sijui kaishia darasa la ngapi, nimeona live akiongea maneno yaliyojaa chuki dhidi ya SUGU eti akidai ana heshima gani atamvunjia heshima.

Huyu OCD alisikika eti anakamata Sugu kwa kufanya maandamano, haya na leo aliambia umma hicho wanachokifanya CCM kwenda ofisi za NEC ni nini?
Yaani haya ndiyo madhara ya kuwapa wati mamlaka hawajui sheria na shule zao haziruhusu. Yaani yeye anajua polisi ni kukamata tuu.
Hayo yote boss wao ambae ni IGP hayaoni. Ila ana kimbilia viongozi wa dini kuwaomba wahubiri amani. Ocd hakemewi, Dc kule Hai bado ana panga hujuma dhidi ya upinzani.. Polisi na mamlaka za uteuzi kimya. Ila wapinzani wakidai haki huwa wana tishia amani..
 
Wasalaam wajumbe humu!

Leo hii kila jimbo ambapo CCM wamechukua form za ubunge na udiwani maeneo mengi nchini wameandamana kwenda ofisi za NEC.Lakini huyu OCD wa mji wa Mbeya sijui kaishia darasa la ngapi, nimeona live akiongea maneno yaliyojaa chuki dhidi ya SUGU eti akidai ana heshima gani atamvunjia heshima.

Huyu OCD alisikika eti anakamata Sugu kwa kufanya maandamano, haya na leo aliambia umma hicho wanachokifanya CCM kwenda ofisi za NEC ni nini?

Yaani haya ndiyo madhara ya kuwapa wati mamlaka hawajui sheria na shule zao haziruhusu. Yaani yeye anajua polisi ni kukamata tuu.
Wakati wa kumshughulikia ukifika mnaanza na shangazi zake.
 
Kumlaumu mtu bila kupitia wiring diagram ya ubongo wa mtu haumtendei haki,azima wiring diagram ya kwenye bichwa la OCD na uistudy kwa kina
 
Wasalaam wajumbe humu!

Leo hii kila jimbo ambapo CCM wamechukua form za ubunge na udiwani maeneo mengi nchini wameandamana kwenda ofisi za NEC.Lakini huyu OCD wa mji wa Mbeya sijui kaishia darasa la ngapi, nimeona live akiongea maneno yaliyojaa chuki dhidi ya SUGU eti akidai ana heshima gani atamvunjia heshima.

Huyu OCD alisikika eti anakamata Sugu kwa kufanya maandamano, haya na leo aliambia umma hicho wanachokifanya CCM kwenda ofisi za NEC ni nini?

Yaani haya ndiyo madhara ya kuwapa wati mamlaka hawajui sheria na shule zao haziruhusu. Yaani yeye anajua polisi ni kukamata tuu.
Poti hapo nyumbani nawaaminia huyo OCD muuweni liwe fundisho. Kama amekuja Mbeya kujifunzia kazi muuwe mumle nyama yake ili mtakasike. OCD polisi anawasumbua Mbeya? Uweni huyo na nyama yake kula!
 
Hawa Polisi wanaotumika ni kuwashtaki kwa IGP, kama naye hawachukulii hatua basi tunashtaki kwa wananchi

Mkuu IGP naye si ndio hao hao, hata polisi wa chini wanafanya chochote cha kuifurahisha ccm maana wanajua hata huyo IGP hana la kuwafanya. Unapolinda maslahi ya ccm hujali madaraka ya IGP, kwani IGP anaweza kutolewa na ukapewa ww hicho cheo.
 
Wapo akina Kibhumba hapo boda anafanya kazi kwa bei ndogo tu. Hata laki mbili haifiki.
 
Wasalaam wajumbe humu!

Leo hii kila jimbo ambapo CCM wamechukua form za ubunge na udiwani maeneo mengi nchini wameandamana kwenda ofisi za NEC.Lakini huyu OCD wa mji wa Mbeya sijui kaishia darasa la ngapi, nimeona live akiongea maneno yaliyojaa chuki dhidi ya SUGU eti akidai ana heshima gani atamvunjia heshima.

Huyu OCD alisikika eti anakamata Sugu kwa kufanya maandamano, haya na leo aliambia umma hicho wanachokifanya CCM kwenda ofisi za NEC ni nini?

Yaani haya ndiyo madhara ya kuwapa wati mamlaka hawajui sheria na shule zao haziruhusu. Yaani yeye anajua polisi ni kukamata tuu.
Mkuu hayo ndiyo matatizo ya uwepo wa "Green Guards" waliovishwa magandwa ya polisi na kupewa vyeo kwa upendeleo wa ukada ulio kindakindaki.
 
Wasalaam wajumbe humu!

Leo hii kila jimbo ambapo CCM wamechukua form za ubunge na udiwani maeneo mengi nchini wameandamana kwenda ofisi za NEC.Lakini huyu OCD wa mji wa Mbeya sijui kaishia darasa la ngapi, nimeona live akiongea maneno yaliyojaa chuki dhidi ya SUGU eti akidai ana heshima gani atamvunjia heshima.

Huyu OCD alisikika eti anakamata Sugu kwa kufanya maandamano, haya na leo aliambia umma hicho wanachokifanya CCM kwenda ofisi za NEC ni nini?

Yaani haya ndiyo madhara ya kuwapa wati mamlaka hawajui sheria na shule zao haziruhusu. Yaani yeye anajua polisi ni kukamata tuu.
Mbona hiyo ilishapita mzee
 
Wasalaam wajumbe humu!

Leo hii kila jimbo ambapo CCM wamechukua form za ubunge na udiwani maeneo mengi nchini wameandamana kwenda ofisi za NEC.Lakini huyu OCD wa mji wa Mbeya sijui kaishia darasa la ngapi, nimeona live akiongea maneno yaliyojaa chuki dhidi ya SUGU eti akidai ana heshima gani atamvunjia heshima.

Huyu OCD alisikika eti anakamata Sugu kwa kufanya maandamano, haya na leo aliambia umma hicho wanachokifanya CCM kwenda ofisi za NEC ni nini?

Yaani haya ndiyo madhara ya kuwapa wati mamlaka hawajui sheria na shule zao haziruhusu. Yaani yeye anajua polisi ni kukamata tuu.
Anachofanya ni kujipendekeza na amesahau cheo ni dhamana, ubaya wako wa leo ndio ubaya utakaofanyiwa kesho,siku hazigandi
 
Wasalaam wajumbe humu!

Leo hii kila jimbo ambapo CCM wamechukua form za ubunge na udiwani maeneo mengi nchini wameandamana kwenda ofisi za NEC.Lakini huyu OCD wa mji wa Mbeya sijui kaishia darasa la ngapi, nimeona live akiongea maneno yaliyojaa chuki dhidi ya SUGU eti akidai ana heshima gani atamvunjia heshima.

Huyu OCD alisikika eti anakamata Sugu kwa kufanya maandamano, haya na leo aliambia umma hicho wanachokifanya CCM kwenda ofisi za NEC ni nini?

Yaani haya ndiyo madhara ya kuwapa wati mamlaka hawajui sheria na shule zao haziruhusu. Yaani yeye anajua polisi ni kukamata tuu.
Hujaeleza point yoyote zaidi ya mawazo yako.
 
Back
Top Bottom