Ah sky bwana 🤣🤣🤣🤣🤣Innocent atakuwa ni wa 14 kati ya wale 16. RIP Innocent.
Hasa huyo mshanaKuna watu wanaenjoy kupost habari za hivi
Huyu atakuwa wa 5 kati ya wale 16. Yaani namba za ndugu zetu wanaotwaliwa na COVID19 inakwenda kwa mwendo wa kinyonga kama ages za 'mamiss TZ na wasanii". Hatari sana hii kitu. Mficha maradhi siku zote huumbuliwa.Innocent atakuwa ni wa 14 kati ya wale 16. RIP Innocent.