TANZIA OCD wa Chalinze, Innocent Flex afariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi maradhi ya kuumwa kichwa na kubanwa pumzi

TANZIA OCD wa Chalinze, Innocent Flex afariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi maradhi ya kuumwa kichwa na kubanwa pumzi

Aisee,Polisi wamepewa jukumu la kukamata wapotoshaji kuhusu corona,sasa na wanakufa,sijui nani atafanya kazi ya kukamata wapotoshaji
Hio kazi ya kukamata wapotoshaji ni ya ovyo kuwahi kutokea nchini
 
Kuna wakati muwe watu wa tafakuri.. Hamjui nikoje na marehemu... Msiwe watu wa kuhukumu kila kitu...
Jr[emoji769]
wala usijali Mshana watasema tunamsaidia Ummy hayaaaa
huku kwetu kaondoka Dr Kinabo ana Dispensary Uhindini
matatizo ya kupumua
hivyo bado idadi ni 16 tu?
 
Et za chin chin znasema corona imetengenezwa maksud to flashi the weak ones..yaan dunia hii ya tecnohama haitak tena magonjwa..ina flashi woote baada ya hii tuu utaskia dawa ya ngoma imepatikana...

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuamini kila unachokisia au unachoambiwa hata kama umekisia kwa Rais wa nchi
 
Ametoa taarifa,kwa jamii yetu taarifa hizi ni muhimu,hichi ni chombo/jukwaa la habari,habari hizi ni muhimu kwa sababu kuna wengine pia twamfahamu ila hakuna ambaye angeweza tupa taarifa, kupitia hapa nimeweza kufahamu kuwa mtu huyu ninayemfahamu ameaga dunia, kwa hiyo Radio one, RFA,Tbc na nyinginezo huwa zinafurahi kutoa matangazo ya vifo?

Yanatolewa ili ndugu, jamaa na marafiki watambue.Sioni sahihi kusema mtu anafurahi kutoa taarifa za msiba.

Mtoa taarifa binafsi nashukuru na nimeweza kuwasiliana na familia yake kupitia taarifa yako.
Tunatofautiana sana akili humu duniani.
 
Poleni sana kwa msiba wafiwa, ndugu, jamaa na marafiki.

Kigogo2014 amesemaje?
 
Yule mpare mwenzako. Mange anasema kirusi kimebadilika na kweli wataalamu wanasema kimejibadilisha ma kuwa deadly.

Kile cha wuhan na usa sio cha Africa.
Cha mbele kinakupa muda kidogo ila cha bongo kinakuchukua fasta.

Wabunge .. waliokufa na huyu wameondoka kwa muda mfupi sana
Yule Mpare mwenzangu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]

Jr[emoji769]
 
Fursa za ajira, kuna mtu anaenda kuwa OCD very soon hapo. Jilinde mwananchi. Ukiondoka ndio ntoleee hiyoo.
 
Back
Top Bottom