Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu samahani dkt.Kinabo kafariki lini?Doh huu ugonjwa unaondoka na wataalamu wengi,hauangalii wala hauchagui.Janga hili litatuacha na mapengo mengi sana yasiyozibika katika jamii kirahisi.wala usijali Mshana watasema tunamsaidia Ummy hayaaaa
huku kwetu kaondoka Dr Kinabo ana Dispensary Uhindini
matatizo ya kupumua
hivyo bado idadi ni 16 tu?
Ulitakaje?Halafu wabongo huku kitaa hatuna habari yan tunaishi kana kwamba hakuna kitu kilichotokea
Achana na mtoa mada ila kuna mtu namjua huwa anafanya hivi.Kwanini unawahisia wenzio mabaya ? Wewe utakuwa mzima kweli? Mtu akitoa taarifa tayari anafurahia kifo cha marehem? Jaribuni kutafakari jamani haya maisha ya dunia ni mafupi mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani roho za uchawi zikoje unafikiri, atleast na wewe umegundua furaha wanayoipata, kifo cha mtu tena hata wasiemjua kinawaletea joy na enjoyment ya ajabu, what is this???!!!Kuna watu wanaenjoy kupost habari za hivi
Upo sahihi bana usiogope kuwachana!!Yawezekana si kwako ila nishaiona sana humu...kama nimekusingizia please ignore🙏
Mshana humu jf kuna watu wako under 20 kumbuka hilo pia... .kuna watu akili ndo zinakua na kupevukaHiyo enjoyment iko wapi hapo
Jr[emoji769]
Acha kabisa niko hatua ya katikati kuelekea kupona Corona isikie tu ikikukuta unaafya mbovu utajuta..!Innocent atakuwa ni wa 14 kati ya wale 16. RIP Innocent.
Kuna wakati muwe watu wa tafakuri.. Hamjui nikoje na marehemu... Msiwe watu wa kuhukumu kila kitu...
Jr[emoji769]
Nimecheka bila kushurutishwa..aisee itakua msiba wa karneDuh.......Chalinze na Msoga kuna umbali gani?
Rip OCD!
Unawalaumu kwa kuwa wewe maishani mwako hujawahi kushikiwa akili. Tafakari si hadi uwe na akili bloetu?Kuna wakati muwe watu wa tafakuri.. Hamjui nikoje na marehemu... Msiwe watu wa kuhukumu kila kitu...
Jr[emoji769]
Ni ndugu Yetu Innocent Flex ametwaliwa na Bwana usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Chalinze. Mpaka jana jioni alikuwa mzima wa afya lakini usiku akapata maumivu makali ya kichwa na kubanwa pumzi ikabidi akimbizwe hospitali asubuhi lakini hakufika
Kabla ya kuwa OCD Chalinze alikuwa OCD Kibaha.
Mwili uko mochwari Tumbi hospital.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
Jr[emoji769]
Dah!! haya bhana.Mshana humu jf kuna watu wako under 20 kumbuka hilo pia... .kuna watu akili ndo zinakua na kupevuka
Hah! Kwa hiyo hii ni taarifa ya uongo? Usiniambie anayedhaniwa kufariki uko naye pembeni hapoWewe umekuwa mtu wa mbele sana kushadadia Haya na kupotosha , umekuwa ukizua taarifa za uzushi kila Mara, na taarifa hizi zimekuwa zikileta taharuki kwa wananchi wengi
I tell you,lazima ubadilike .naishia hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee,Polisi wamepewa jukumu la kukamata wapotoshaji kuhusu corona,sasa na wanakufa,sijui nani atafanya kazi ya kukamata wapotoshaji
Acha kabisa niko hatua ya katikati kuelekea kupona Corona isikie tu ikikukuta unaafya mbovu utajuta..!
Viungo vinauma uchovu, pumzi inalungua na homa hasa jioni na usiku ni hatari kwakweli.
Sent using Jamii Forums mobile app