Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
mkuu hamtaki tuletewe taarifa za Vifo ? kosa la Mshana ni nini sasa hapo ?Hasa huyo mshana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu hamtaki tuletewe taarifa za Vifo ? kosa la Mshana ni nini sasa hapo ?Hasa huyo mshana
Kuna haja kila mtu kufanya mazoezi ya kupumua!
Innocent atakuwa ni wa 14 kati ya wale 16. RIP Innocent.
😅mtafute sugu (mb)Yanafanyikaje mkuu??
Yanafanyikaje mkuu??
Kwanini unawahisia wenzio mabaya ? Wewe utakuwa mzima kweli? Mtu akitoa taarifa tayari anafurahia kifo cha marehem? Jaribuni kutafakari jamani haya maisha ya dunia ni mafupi mnoKuna watu wanaenjoy kupost habari za hivi
No! Kila mtu anatakiwa ajue jinsi Corona inavyoua watu kwa kasi ili watu wawe serious katika kujilinda! Bila ya watu kuwa na hofu hawatakuwa serious katika kujilinda. Watu hawana hofu ndiyo maana kila mahali bado kuna mikusanyiko na hii itateketeza watu!Kuna watu wanaenjoy kupost habari za hivi
Kuna binadamu gani ana enjoy kutoka taarifa za misiba kila wakati? Wanakudhalilisha sana hawa jamaaKuna wakati muwe watu wa tafakuri.. Hamjui nikoje na marehemu... Msiwe watu wa kuhukumu kila kitu...
Jr[emoji769]
aliye na hekima atageuka nyuma na kutafakari nini chanzo cha yote hayaHasa huyo mshana
Mkuu, kila uamkapo asubuhi baada ya kuwa tayari umemshukuru Mungu, vuta pumzi nyingi ndani na ubane kwa sekunde 15 halafu unatoa.Kuna haja ya kila mtu kufanya mazoezi ya kupumua!
Na kuna mtu anaenjoy Watanzania wakifa iwe siri, wakiumwa wasiseme iwe siri.Kuna watu wanaenjoy kupost habari za hivi