The Certified
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 910
- 774
Ndugu wanajamvi Habari za muda huu,
Nilifungua kesi polisi Igogo Mwanza na hii ni wiki ya tatu mtuhumiwa wangu hajakamatwa, mtuhumiwa amezidi kunitesa na kuniwinda njiani usiku ninapotoka kazini.
Mtuhumiwa alinitishia kunidhuru ila RB Inasoma Kutoa Lugha chafu, Hii Imekaaje? Na kwanini hakamatwi? Naibu Waziri Wa Mambo Ya Ndani Waziri Bashungwa, Jeshi La Polisi Mbona Kila siku linapoteza Dira na kuaminiwa na wananchi?
Najua upo Mwanza na nimeomba nikuone ila nikaambiwa uko busy Sana, najua upo JF, nimeshalalamika karibu ngazi mbalimbali na still hakuna ushirikiano wowote ule napata.
Sasa nikichukua sheria mkononi nikamdhuru huyu muharifu na mimi mtachelewa kunikamata?
Naomba haki yangu itendeke mapema kabla sijachukua sheria mkononi.
Nawasilisha Wana Jamvi.
Nilifungua kesi polisi Igogo Mwanza na hii ni wiki ya tatu mtuhumiwa wangu hajakamatwa, mtuhumiwa amezidi kunitesa na kuniwinda njiani usiku ninapotoka kazini.
Mtuhumiwa alinitishia kunidhuru ila RB Inasoma Kutoa Lugha chafu, Hii Imekaaje? Na kwanini hakamatwi? Naibu Waziri Wa Mambo Ya Ndani Waziri Bashungwa, Jeshi La Polisi Mbona Kila siku linapoteza Dira na kuaminiwa na wananchi?
Najua upo Mwanza na nimeomba nikuone ila nikaambiwa uko busy Sana, najua upo JF, nimeshalalamika karibu ngazi mbalimbali na still hakuna ushirikiano wowote ule napata.
Sasa nikichukua sheria mkononi nikamdhuru huyu muharifu na mimi mtachelewa kunikamata?
Naomba haki yangu itendeke mapema kabla sijachukua sheria mkononi.
Nawasilisha Wana Jamvi.