Wanasimba mwezi wa KUMI unakuja.
Tufanye nini ili tuweze kuwafunga YANGA msimu huu. TUmechoka sasa kufungwa kila mara. Mikakati iwekwe mapema tuwaue hawa utopolo this is too much.
Angekuwepo Hans Pope nisingekuwa na naiwazia mechi hiyoo ila kwa sasa Viongozi wa simba hawapambani sana kama Hanspope kuhakikisha simba inashinda hizi game za Simba vs Yanga, tumekuwa Simba laini sana.
Tufanye nini ili tuweze kuwafunga YANGA msimu huu. TUmechoka sasa kufungwa kila mara. Mikakati iwekwe mapema tuwaue hawa utopolo this is too much.
Angekuwepo Hans Pope nisingekuwa na naiwazia mechi hiyoo ila kwa sasa Viongozi wa simba hawapambani sana kama Hanspope kuhakikisha simba inashinda hizi game za Simba vs Yanga, tumekuwa Simba laini sana.