Jiandae utanikuta pale kona ya siku zote yaani hatachepuka na atakupa mapesa kibao!
We kazi yako ndogo babu anaimaliza fastaaàaaaaaaa
limbwata halichagui rangi my dear
Uuuwiiiii kumbeee imefifiaaaa lol ndio nipo masikini wa malii lakin tajirii wa rohoo we ushawahi kumuweka mtu kiganjaniii
Hapoo sawaaaaaaa mi nataka tu hichoo basii
Dawa haziaminikii shogaa unaweza pewa sumu ukamwekeaa halaf ukakosaaa umotooo si unajua umoto unatofautiaanaa shougerrrrr
Hata kikubwa zaidi wapata
Mwaya nina vimeo mwezi wa tano ndo mana nachungulia kidogo.....yani hapa Nikishamaliza nitakuwa free....
Nlilala nimeamka bundi...mzungu yupo km likondoo pale. Chezeya mambo ya chanika wewe..oohh bongolishaz hakuna kitu ni kirecharge... kwa roho ile lazima ulozi haukosekani
Nlilala nimeamka bundi...mzungu yupo km likondoo pale. Chezeya mambo ya chanika wewe..oohh bongolishaz hakuna kitu ni kirecharge... kwa roho ile lazima ulozi haukosekani
Huyo mange ana nini asijadiliwe? US ameanza kuishi yeye? HM ameanza kuzivaa yeye na kenzo?? Akimjadili sintah kwa kumshusha ajue na yeye hawezi kuwa salama.... angekuwa japo mzuri basi tusingepumua mjini hapa!! Na nyie vibaraka wake mnaosubiri nguo za msada mjipange hasa mnapokuja kumtetea nanake watu wako full...jimama zima lina act km teenager
Me jaman nampenda Mange,watu hawamuelewi tu,siyo kwamb huwa anajisifu,blog yake ni Mange's reality blog......maneno mengine yanaletwa na hao team Mange
Ooooh siee tupoo ndio nimeamkaaa vipiii niliona nikuiteee