Odama huvumi lakini umo

Odama huvumi lakini umo

Maisha gani aliyonayo wenye maisha wakiitwa hata pua hasogezii mwambie atulize mshonoo,ushamba apunguzee,maisha ya picha za 360 heeeeeeee nyie ndio mtaota mnaolima magimbi kwenye lamii

Alaf Hawa misukule yake wanakuja kwa kubip unaona washakimbia
 
Si hawajawahi kuona wote wa misukule yake walikuja town na fuso ya Mahindi

Hahahhhhahha naona wanajivutaa hapa watapiga mbizi kwenye vumbii,kujen taratibuu huku sio umalayani kuropoka kama mnavyoropoka huko mtafungwa pempas mwaka huu
 
Hahhhhhahhha JF balaa si unaona wanavyoingia kwa adabuu hahhhhahhha karibuni sanaaa

Heshima imekamata mkondo wake...amkimbize nani??? Ana nini?? Pesa gani?? Hii ya mboga

Heeeee aweke chini financial status per year,profit n loss tucompare na matajir ambao ni top over the world tuone
 
Nimeongelea swala la chupi hapa
Anyway naona hujielewi sijibishani na watu kama wewe. So endelea kupost ----- wako

Kwendraaaaaaaaa najua unatetea mgawo ili usisahaulike...tena usigeuke nyumba. We Ndo hujitambui kutwa kushabikia mwanamke asiyejitambua mjini...kila kitu Ndio bibi Kama msukule
 
Heshima imekamata mkondo wake...amkimbize nani??? Ana nini?? Pesa gani?? Hii ya mboga

Heeeee aweke chini financial status per year,profit n loss tucompare na matajir ambao ni top over the world tuone

Shangaaa wakajichambee huko bado wananuka maziwa ya watoto wachanga nuksi tupuuu wakaogeer muosha pesaa watakatee
 
Hahhhha anadhan yupo US pekee yake watu wapo wametuliaa tulii ma bata wanakula kama hawana akilii,ushamba sijui wa wapiii yaan Mungu hakupi vyoteee manenahaaa

Kila mtu akiposti Marsha yake hapatakalika dunia hii
 
Kwendraaaaaaaaa najua unatetea mgawo ili usisahaulike...tena usigeuke nyumba. We Ndo hujitambui kutwa kushabikia mwanamke asiyejitambua mjini...kila kitu Ndio bibi Kama msukule

Heeeeeee ana damu ya aina gani huyu shost kwenye Uzi wa rihanna anabisha uuuuuuwi
 
Hivi we we Koku kwenye ule mgawo utapata chupi au Kile kikopo alichokuwa anatemea mate Wakati wa ujauzito? Hahahahahah aha naona unatetea mgawo wa malapu lapu aisee mtumikie kafiri upate japo kinyolea vu......z.....i
Aaaaahaaaaa eti koku we kweli ujielewi im a gemstone dealer eti ni subirie nguo za mgao aaaahaaaaaa yani leo nimecheka sana sasa sijui wewe mwenzangu unashughuli gani hapa mjini...hata sijui kama unaelewa maana yake...usivamie watu kwenye mitandao usio wajua unajitia aibu
 
Back
Top Bottom