Chezeaa Dinazarde wewe toto la kiarabuu alaaaa wamuwaaacheee miakaa miaaaaaa manenah zao
Huo ubuyu umwage hapa tuushambulie wote
Nishakula nanee mzoefu mie dina atarudii jembe letuu
Nini tena kimempata kamanda wangu namba moko?? Angeniita tu tufe naye wote aiseeh Dah nguvu zote sina bila Dinazarde dah
piemo ndio wapi na mie nielekeze
Hahahaaa...tutajifunza kutake nafas yake
Nipo badala yakee bina usijal wachawii wa mtaaa wapili wamekuja kutuwangia uchii humuu sie bonge la maarufuuu Jf nomaa
Mhhh umezoea ban umekunywa ngapi binamu?
Dinazarde yupo wapi jamani nimemmiss mwambie nimemletea ubuyu aje achukue...
nimecheka sana nimetoka kuwasoma kule kwenye TV station lol
Billionaire chali
nimecheka sana nimetoka kuwasoma kule kwenye TV station lol
Billionaire chali
Ungekuja Jana binamu ligi ilikua Kali ilianza SAA nne ikaisha saa Tisa baada ya ban post zangu nyingi wamezifuta yule jamaa alinitafuta sana halafu kakimbia
Wapi nikaangaliee nami huko
Wapi nikaangaliee nami huko
jana sikuwa online kabisaaaaa.. leo ndio nimeingia nimecheka sana aiseeee
I wish ningekuwepo nifatilie thread kama zile ndio nazipenda... sasa billionaire nae jamani Khaa