Odama huvumi lakini umo

Na yeye asije hukuuu kwa hiyo nae anamuonea wivu sintaa maana hamtoki mdomoniiii haloooooo

Kwanza kama hivyo naye basi anamuonea wivu sinta.. Kwanini aendelee kumsakama kama anajiona kamzidi.

Nayeye huyo kimavi na team yake mbona wanakuja huku kuangalia tunayodiscuss na kwenda kutusema huko blog yake.
 
Kwanza kama hivyo naye basi anamuonea wivu sinta.. Kwanini aendelee kumsakama kama anajiona kamzidi.

Nayeye huyo kimavi na team yake mbona wanakuja huku kuangalia tunayodiscuss na kwenda kutusema huko blog yake.

mmh afuatiliwe kwa maisha gani? Si bora hata sintah ana kiduka chake yeye kutwa kuzurula na migaguro yake, si afungue duka na yeye uko marekani tuone jeur yake ya fedha.
 
mmh afuatiliwe kwa maisha gani? Si bora hata sintah ana kiduka chake yeye kutwa kuzurula na migaguro yake, si afungue duka na yeye uko marekani tuone jeur yake ya fedha.

tatizo la mange ulimbukeni na kujiona yuko juu wakati ana maisha ya kawaida akipga vipcha na kuweka ndo watu wanatetemeka angekuwa na maisha mazuri angekuwa anakuja huku bongo kuuza nguo aache kujishaua naye kama ana hela aanzishe botique U.s.a basi kama anazo kujishaua kwingi
 
haya mtoto wa Odama anaendeleaje? Haa haa . Tunaomba mleta mada aufunge huu uzi naona imetosha
 

Aitoe wapi hiyo ya kuanzisha botique, misheuo tuuuu yaan huyo mmewe angekua anajua kiswahilii angemuachaaa
 
Pamoja na haiba ya usoni lakn mnyakyusa huyu hana MGUU kabisa na ukitaka kujua angalia movie yake ya Jicho Langu!!! Yaaani mguu kama ufito!!!
 
Pamoja na haiba ya usoni lakn mnyakyusa huyu hana MGUU kabisa na ukitaka kujua angalia movie yake ya Jicho Langu!!! Yaaani mguu kama ufito!!!

Hahhhhhahhhhhahhhha Mola hakupi vyoteee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…