Odama huvumi lakini umo

Odama huvumi lakini umo

Hahhhhahhha kumbe muuza maua super market au wapii halaf nilisikiaa wanaishii kwenye ka mtaa ka mashoga ashabakiaa kusema ooo leo nipo kiwanja gani ooo leo nipo beach kazi kurusha tu pichaaa wana Hela halaf wamepangaa nyooo zakeee wenye pesa zao huko kimyaa lakin ye kujifanya eti celebrity ndio maana hata Shigongo hamuandikii maana hauzii vilee na ukimavi wakee
Na siku zote maskin tukipataa mata.ko huliaa mbwaataa

Wakati kuna watu wanawaza walifanyie nn taifa letu ili wakumbukwe ye anawaza kutukana tu kila mtu ili apate umaarufu kwa mgongo wa watu.. umaarufu wenyewe wa bifu.buyu tu yule zero brain kabisa
 
Wakati kuna watu wanawaza walifanyie nn taifa letu ili wakumbukwe ye anawaza kutukana tu kila mtu ili apate umaarufu kwa mgongo wa watu.. umaarufu wenyewe wa bifu.buyu tu yule zero brain kabisa

hahahahaga Umeona eeeeh
 
Niliuliza swali hapa kwamba km kweli alizoea maisha ya juu kabla ya ndoa na mzungu why shobo zinazidi km mtu aloyajulia ukubwani???? Kwa maisha ya sasa anayoishi ni ya kawaida sana tu labda hayo ya enzi hizo kabla sijaja mjini ambayo me siyajui

Huyu ana ulimbukeni uliopitiliza
 
Wadaku wenzangu mpo? Was busy Leo haya leteni mpya za town kabla haxijapoa
 
Back
Top Bottom