Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.wakihara wajue watayazoa wenyewe...tatizo watu wamemchoka na drama zake...kajifungua yuko peke yake km nchawi...anajifanya kuleta nguo kumbe anakuja kuongeza nguvu kwa mganga wake wa chanika
Tobaaa mganga tena
Hahahaaaahaaaa....acha kabisa.. ilikuwa nusu glass tu but mmmmh
.wakihara wajue watayazoa wenyewe...tatizo watu wamemchoka na drama zake...kajifungua yuko peke yake km nchawi...anajifanya kuleta nguo kumbe anakuja kuongeza nguvu kwa mganga wake wa chanika
Huwa naona wa2 wakimya wanarembua balaa, ngoja mie niingie mzigoni ila kma huyo mdada anaenda chanika dawa haishiki aje nimpeleke kwa babu atampata jayz au warren buffet
Nakuja fasta unipelekeNdio hivyo lazima aka recharge...twende nikupeleke kwa babu Tanga ukapate ya mvuto na ya kuchuna vibosile kama Mndengereko
Nami nipelekeee hahhhahhhhahhhaa
Ha ha ha eti Jayz, miye namtaka George clooneyHuwa naona wa2 wakimya wanarembua balaa, ngoja mie niingie mzigoni ila kma huyo mdada anaenda chanika dawa haishiki aje nimpeleke kwa babu atampata jayz au warren buffet
Huwa naona wa2 wakimya wanarembua balaa, ngoja mie niingie mzigoni ila kma huyo mdada anaenda chanika dawa haishiki aje nimpeleke kwa babu atampata jayz au warren buffet
Dinazarde unawapenda wahaya nini?
Heee kumbeee hadi wazungu limbwataa inawakubaliiiiii hahhhhhahha tatizo mishauo mnooo lazima awe mchawiii
Nakuja fasta unipeleke
Ha ha ha eti Jayz, miye namtaka George yule mzuri ingawa mzee kidogo
Dinazarde twende fasta labda wazee wa fursa watatuona
Dinazarde twende fasta labda wazee wa fursa watatuona
Tena we Dinazarde unahitaji kupNdishwa nyota yako maana imefifia. Pia utapewa na ya kumweka kiganjani... no kufurukuta. Atakutii kwa lolote usemalo
Mi anipelekee niwee nataka niwe Bilioneaaaaaa basii kiruuuu