Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,603
- 13,654
baba yake anaitwaga frank machozi, sasa atampaishaje mwanaume mwingine wakati anaishi na mwanaume mwingine! unataka arudishwe bongo mwenzio eeehhh
Ivi yule mtoto wa mange mkubwa baba yake Nani?? Maana si muonagi akimpaisha instagram , kila siku anampaisha zeru zeru, sio fresh anavyofanya bhna, ampost na yeye kidogo mtoto wake na yeye ajisikie ana baba.