Odds za yanga vs sundowns. ni 9 odds to 1

Odds za yanga vs sundowns. ni 9 odds to 1

Yanga anafungwa goli 2, Simba anafungwa kwa penati.

weka shilingi 50 elfu upate laki 8
 
Odds hazichezi mpira, ingekuwa zinacheza mpira basi Yanga ingeshinda mechi ya Dar ilipopewa odds 1.40 na makapuni ya kubeti. Atakayejipanga vizuri kesho ndio watakaopata matokeo na kufuzu.

Watu wa kubet watakuwa na uzoefu mkubwa na reference za timu zilizoprwa odds mlima lakini zimeshinda. Na timu zilizopewa odds kiduchu 0.12 lakini zikafungwa
Punguza kamba mkuu, kuna odd ya 0.12? Maana yake ukiweka stake ya 100k na ukishinda utapata 12k?

Bado ni Ramadhani mkuu, ntume hapendi uongo.
 
weka hela kama you believe in ur results. group stage is not that tactical
Ila wewe jamaa mpira bado sana kuujua unajilazimisha Haya hapa Petro Luanda alipewa Odda 9 dhidi ya Mamelodi hatua hiyo hiyo ya robo fainali na game iliisha sare
Screenshot_2024-04-04-22-39-44-638_org.mozilla.firefox.jpg
 
Daa mi sielewi hapo, mana sijawai beti. Maana yake ni kua yanga anashinda ?
Wanamaanisha uwezekano wa Yanga kushinda ni mdogo sana kulinganisha na uwezo wa Mamelod kushinda.
 
Back
Top Bottom