funguka brazaaa...........Odi jaman ndugzanguninime ambiwa uku kuna msada wa jiu
nga na maso plz nisaidieni
Sent using Jamii Forums mobile app
ukiona hivyo jua ni fb kazini.Odi jamani namba mnipoke niwe mwana cha
Kwa uandishi huu kweli wewe ni mgeni JF.
- Thread starter laban amos omware
- Start date Yesterday at 5:58 PM
Karibu sana Laban Amos Omware
Kipanya ni dunia nyingine...........
Duuuhh! hichi ni kilatini au kichina kichoandikwa kwa kiswahili.Wale walo enda shule naombeni kuwaulizeni swali nini maana ya dasi dasi urukia dasi katika mdwara wake wale washule asa asa naomba mshana nijibu ukipatia narudi shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Tamir Hindu hiyo..............Duuuhh! hichi ni kilatini au kichina kichoandikwa kwa kiswahili.
itakua hivyo maana kuyatamka tu unaweza kujing'ata ulimi.Tamir Hindu hiyo..............
Hahaa, umetishaAhaaa kumbe Freemason.
Sasa njia ni ile ile.
MAHITAJI
Unajua alovera? Iwe imeota sehemu ya ukame,
Majani ya mapera yale mapera ya kienyeji siyo ya kizungu.
Na tangawizi.
NAMNA YA KUJIUNGA.
Chukua majani ya alovera kata kidogo kigogo. Chemshaaa.
Majani ya mapera pia twanga kwenye kinu chemsha.
Tangawizi itwange chemsha.
Halafu changanya huo mchanganyiko pamoja. Usiwe na maji mengi.
kunywa glass asubuh mchana na jioni.
HAPO HAUTAKUWA FREEMASON TUU BALI UTAKUWA SHETANI MWENYEWE. YAANI BOSI WAO.
karibu kwa maswali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukeli najua kusoma nakuandika ila shida bado sijui ku chat na simat phon laki so shule mnisaidie to kama kuna uwezekano nakama amuna safitu nitafute pengine wanasema alioko juu mngoje chini lakini mimi sikutaka ku wangoja chini ndomaana nimewafata juu tufundishane tu waungwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah ....pombe bana😎Odi jaman ndugzanguninime ambiwa uku kuna msada wa jiu
nga na maso plz nisaidieni
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana ila rekebisha uandishiOdi jaman ndugzanguninime ambiwa uku kuna msada wa jiu
nga na maso plz nisaidieni
Sent using Jamii Forums mobile app