Odinga apinga matokeo, adai ni matokeo ya mashine sio Wakenya

Prove it. Let IEBC prove that what they presented tallies with the forms. Until then, you have no right to accuse Raila, unless of course you are a Kikuyu or Kalenjin
As of now the IEBC CEO s announcing the system was not hacked and even he says the Passwords were issued on the eve of the election that means no way the dead man password could have been used....Rao since day one hakua na mpango wa kukumbali matokeo ambayo sio yeye mshindi...asiyekumbali kushindwa sio mshindani
 

Hata Uhuru asingekubali. Leteni forms hapa
 
Wizi wa kura Afrika nikawaida tu. "mwenzako akinyolewa zako tia maji"

asante kisu kinacho mnyoa raila kitamnyoa bwana yule wa nguo za rangi ya mbao,ikasha tutasahau kua tulitetea dhulmaaaa
 
Amesema so far bhana, sio final, ni idadi ya hadi hapo walipokuwa wamefikia kuhesabu kura, wakati ana tweet. Huwezi mlinganisha na mistake ya Seif. Mzenji alisema ndio final. Unatetea hata huangalii details vizuri, itakuwa nyumbu
 
asante kisu kinacho mnyoa raila kitamnyoa bwana yule wa nguo za rangi ya mbao,ikasha tutasahau kua tulitetea dhulmaaaa
Ndio mkuu, acha wachekelee saizi ila wasilie 2020 yatapofanyika hayohoyo hapa kwetu.
 



Africa ni Bonge la vituko show.
 
Odinga, wameiba kura zake hata mtoto anaona wazi kabisa.

Any way, nasi hapo Tanzania, Noah za makinikia nasikia meli zimefika TPA badari ya Dar ila , TPA wamezikataa kuwa mmiliki wake hajulikani kama ilivyokuwa kwa vichwa vya trains.

Ndiyo, maana naona huko, Kenya ni bora Odinga akinukishe ili nikapige kazi ya diplomatic mediation , maana hata nguo nimeisha weka tayari kwa safari.
 
Aisee form 34A zinachapiliwa kwenye notice board ya kila kituo cha upigaji kura! Kila mwananchi anaweza akaangalia kama ya kwao inalingana na matokeo waliotoa IEBC kule bomas. Wamezieka hadharani kwenye portal yao. Hadi sasa hivi hakuna yeyote ile ilopatikana ina dosari! Hongera IEBC, rais ni Uhuru Kenyatta! Pole Raila Tibim.
 
Kwanza ungekuwa karibu na mm, yaaani sisi watanzania ni wapumbavu,??? Ngoja nikuache kwa mda long umezikwaza nyama zangu za mwilini mwangu badala ya kukwaza roho yangu ,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Husihitoe akili haujaona tweet ya Odinga akisema amepata 8.1M?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu nimeamini kweli hawakuonewa kuitwa Nyumbu kama walivowahi kuitwa na mwanasisasa mmoja hivi enzi hizo.
Ktk Uchaguzi wa kenya ule wa mwanzo uliomuweka Uhuru Kenyatta madarakani watu hao walikuwa dhidi ya Uhuru, na waliwalaumu sana wakenya kwa kumchagua mtu aliyetuhumiwa kuchochea mauaji ya wakenya wenzao na ambaye alikuwa akikabiliwa na kesi the hague.
Ktk uchaguzi huu uliofanyika juzi watu haohao wameendeleza desturi ya kufuata mkumbo kwa kuangalia nani kati ya Uhuru au Odinga kasapotiwa na kiongozi wao, na hii ndio sababu ya wao kuitwa Nyumbu..
Ndio utaona hapa wale wa kuitwa Nyumbu wanamchukia na kumshusha sana Odinga si kwa hoja bali kwasababu mamvi alienda kumpigia chapuo Uhuru.
Utaona wanamponda Raila na kumkejeli kutokana na chuki zao walizonazo kwakuwa inasemekana Raila ni Rafiki wa Rais Magufuli, na wao hawajawahi kuwa na amani kutokana na siasa za Rais Magufuli japo anachokilalamikia Odinga huko kwao ndicho hicho hicho wao hukilalamikia huku kwao pindi unapofika wakati Uchaguzi..

Ama hakika hakukosea yule aliyewaita NYUMBU..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
If Odinga really won ,he should be announced winner. Assassination of Chriss Msando makes me believe Odinga's assertion

Sent using Jamii Forums mobile app
Odinga claims to have never lost any election in Kenya...so dont expect him to concede defeat even now...Kifo cha Chris not withstading...hapa ni kwamba amepata sehemu ya kijishikia...lets awits IEBC to have all the relevant forms...maana Raila alisema kipindi cha kampeni atakumbali matokeo transmitted electronicaly ila sasa tena anataka manual counting...kigeugeu huyu
 
Mambo ya Seif Zanzibar hayo. Sasa sijui itakuwaje. Na ikitokea uchaguzi umefutwa ataalalamika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…