Mkendo
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,137
- 2,233
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KENYA ELECTION.
Through the blood of Jesus, St. Padre Pio will make Peace and Security during Kenya election. And Odinga will be the winner what ever.@Deogratius Kisandu.View attachment 559171 View attachment 559171
Put it like this, "anybody can be a president in Tanzania, lakini aaah! Mkara!"Any thing can happen! Anybody can win,but for a Luo!?
Utabiri wa mkwe wa Obama
Odinga yuko kwa siasa miaka 20.Haya ,chukua tarahe ya uchaguzi tarehe 8 mwezi wa 8 .So miaka ishirini toa nane halafu toa nane ingine umesalia na 4.....inamaana kwamba Odinga atashindwa kwa mara ya 4 tena.Raila Odinga akishinda urais nitatembea uchi kutoka Dar mpaka Kigoma
Odinga hana imani na IEBC ,hana imani na walinda usalama,hataki kuona wabunge wa chama chake wakifanya kazi na Jubilee kuleta maendeleo ,siasa zake ni za 24/7 hakuna wakati wa nation building na akiambiwa aende kutoa ushahidi wa rushwa anasema "siendi sababu that's a very junior officer " to me.Mbona hujaweka sababu za msingi kutetea hoja yako
Odinga yuko kwa siasa miaka 20.Haya ,chukua tarahe ya uchaguzi tarehe 8 mwezi wa 8 .So miaka ishirini toa nane halafu toa nane ingine umesalia na 4.....inamaana kwamba Odinga atashindwa kwa mara ya 4 tena.
Utafanya hivyo kweli...Raila Odinga akishinda urais nitatembea uchi kutoka Dar mpaka Kigoma
Yesu sio mzungu ni mwaarabuNadhani ndiye huyo huyo. Kwani wewe hujui kuwa Yesu ni mzungu?
mana yake haiwezekani Odinga kushindaUtafanya hivyo kweli...
Sio mwarabu bali ni muafrika.Yesu sio mzungu ni mwaarabu
Waweza kutoa Maelezo zaidi mkuu???Sio mwarabu bali ni muafrika.
Bora uandike kiswahili tuYou may know nothing about African democracy (politics) to believe that Odinga will won in the upcoming election in Kenya!
Kuna shida..?? Umekariri muundo wa munayoita future tense..![emoji135][emoji135]
Ni kama alivyokuwa Lowasa tu.Kusema ukweli Raila sio Presidential material..
This is my personal view.. Na ukweli ndio huo
Hapana hats sijakariri ila imegoma tu automatically[emoji12]Kuna shida..?? Umekariri muundo wa munayoita future tense..![emoji135][emoji135]
Wewe umekariri mwenzio ni mwl. Wa kingereza hicho.. Kasome future time aspects!