Odinga: Tutapambana nanyi na hatutachoka wala kulala hadi mpate adhabu yenu

Odinga: Tutapambana nanyi na hatutachoka wala kulala hadi mpate adhabu yenu

Wewe unaota ndoto tu huu upuzi has never been proven.Supreme court haikusema Odinga ameibiwa ama Uhuru ameiba kura - hitilafu ilikuwa ni mitambo na utendaji kinyume cha katiba kwa IEBC.
...Kuna ubaya kuota ndoto? Ukiwasikiliza wale mawakili wa NASA, hasa yule mhindi, kuhusu kutoonekana kwa baadhi ya forms za matokeo unaelewa kwamba the forms were tempered...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RAO Odinga - NASA, wanastahili kuwa rais wa Kenya sasa.

Kwa sasa, siyo jubilee chini ya nyagauzi Uhuru Kenyatta anayesema he will sort all judges out and punish them... and kill judges.

Please, Kenyan lawyers vote for RAO Odiga -NASA then, take Uhuru Kenyatta to court for speaking publicly that he will kill judges .

We all knows that, Uhuru Kenyatta and Jubilee killed Chris Musando the ICT guy of IEBC so, voting for him again or allow him to manipulate the results its sign a death penalty for Chief Jistice . David Maraga and his fellows. With all lawyers in Kenya.

So Kenyans open up go for vote and vote for RAO and NASA.

Tumuondoe muuaji na mwizi huyu Kenyatta Uhuru kwa state house mapema.
Mkitaka kua na uhakika wa kura zenu wakati wakupiga kura hakikisheni yule jamaa haingii huko kwenu Kenya..
Vingenevyo huyo mzee wa mamvi akitia timu yake tu huko Kenya wakati mnahesabu kura hapo lazma mtachakachuliwa[emoji2] ni bingwa wa kuhesabu kura zilizopigwa kwa computer
Huku kwetu walijisahau kidoooogo visiwani wakajikuta waliondikishwa watu laki na nusu kura zimepigwa laki3
Hapo CCM ndio ikaona bora ngoma irudiwe tena ipigwe kura mkono kwa mkono[emoji2]

Sent from Calculator Phone vesion007
 
Mkitaka kua na uhakika wa kura zenu wakati wakupiga kura hakikisheni yule jamaa haingii huko kwenu Kenya..
Vingenevyo huyo mzee wa mamvi akitia timu yake tu huko Kenya wakati mnahesabu kura hapo lazma mtachakachuliwa[emoji2] ni bingwa wa kuhesabu kura zilizopigwa kwa computer
Huku kwetu walijisahau kidoooogo visiwani wakajikuta waliondikishwa watu laki na nusu kura zimepigwa laki3
Hapo CCM ndio ikaona bora ngoma irudiwe tena ipigwe kura mkono kwa mkono[emoji2]

Sent from Calculator Phone vesion007


Asanti sana nimelewa vizuri sana.
 
RAO Odinga - NASA, wanastahili kuwa rais wa Kenya sasa.

Kwa sasa, siyo jubilee chini ya nyagauzi Uhuru Kenyatta anayesema he will sort all judges out and punish them... and kill judges.

Please, Kenyan lawyers vote for RAO Odiga -NASA then, take Uhuru Kenyatta to court for speaking publicly that he will kill judges .

We all knows that, Uhuru Kenyatta and Jubilee killed Chris Musando the ICT guy of IEBC so, voting for him again or allow him to manipulate the results its sign a death penalty for Chief Jistice . David Maraga and his fellows. With all lawyers in Kenya.

So Kenyans open up go for vote and vote for RAO and NASA.

Tumuondoe muuaji na mwizi huyu Kenyatta Uhuru kwa state house mapema.
kama mnajua ni Uhuru aliua Mr Chris pelekeni ushahidi sehemu husika au kama kawaida uleteni kwa wananchi hadharani wao ndio waamue...kulalamika humu hakuwasaidii...mngejitahidi kuuza sera zenu ili mshawishi wapiga kura na sio umbea...
 
kama mnajua ni Uhuru aliua Mr Chris pelekeni ushahidi sehemu husika au kama kawaida uleteni kwa wananchi hadharani wao ndio waamue...kulalamika humu hakuwasaidii...mngejitahidi kuuza sera zenu ili mshawishi wapiga kura na sio umbea...
Hawa jamaa walitumia kifo cha Cris Musando kama kifaa cha kuwataftia kura hata kabla hajazikwa! Kwenye mazishi yake ilikuwa aibu kubwa! Mavampire! Usistuke ukija kusikia baadaye kuwa hao ndo walimuua, yaani wanajua mengi sana kuhusu kifo cha Cris Musando! Hawataki kuandikisha statement kwa polisi kuhusu kifo chake! Kwanini?
 
Hawa jamaa walitumia kifo cha Cris Musando kama kifaa cha kuwataftia kura hata kabla hajazikwa! Kwenye mazishi yake ilikuwa aibu kubwa! Mavampire! Usistuke ukija kusikia baadaye kuwa hao ndo walimuua, yaani wanajua mengi sana kuhusu kifo cha Cris Musando! Hawataki kuandikisha statement kwa polisi kuhusu kifo chake! Kwanini?
ndio nashangaa babu maana hakuna mkutano Chris hatajwi na Chris hatawapa kura maana walala hoi wengine hukooo nje ya miji hata hawamjui wao wanataka umeme,maji,hospitali,shule,dawa hospitalini n.k sio bla bla za waliokufa...
 
Back
Top Bottom