RinnyG
New Member
- Sep 17, 2022
- 2
- 1
Nahitaji hiyo connection Sasa hivi plz contactkariakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahitaji hiyo connection Sasa hivi plz contactkariakoo
Nahitaji namba plzNishakutumia namb
Msaada bidhaa za stationery hasa ream, ila mi nipo IringaUnataka bidhaa gani
Huawei p10 unauzajeWanaohitaji Kununua simu bei za jumla karibuni.
Simu Mpya tu sio USED please!
0699306065 napatikana Dar es salaam Posta samora.
SAMSUNG
IPHONES
Nasisitiza mpya sina refurb
Kariakoo na Nyamwezi ulienda?Mtupe na machimbo ya spea za magari
Mahiwa na Livingstone umeenda?Mkuu mi mzee wa uvuvi nipe connection ya vifaa vya uvuvi,means Nyavu,ndoano,kamba na vitu vingine
Nataka shuka za zinazovuma kuwa za Uganda unawajua wachina?Labda kama wanatengeneza Kwa magome ya miti ya sabuni
Na wafamu tu wachina wanao shusha mashuka ila mashuka ya Uganda sjui yakojeNataka shuka za zinazovuma kuwa za Uganda unawajua wachina?
awo siwafahamu ila wauzaji wapoMsaada wa machimbo ya vifaa vya stationary na Bei zake kwa carton hasa counter book qr 2.
Ni pm namb Yako nikurushie namba za wauzajiConnection wanapouza jumla nami nataka niuze jumla kutoa Dar kwenda arusha
Viatu vya kike dizaini zoteView attachment 2635898View attachment 2635900
Acha ujinga unapenda shortcut..nenda kariakoo fanya researchUktanguliza mawazo hayo ni ngumu kutoboa
Kila jambo ukienda Pupa Lazima Uumie
Tapeli weweUmedandia treni mzee pambana na Hali Yako
Tapeli katika ubora wako..hzo chupi mtaa wa muhonda wao wanachukua mchikichini...huna unachojia tapeli wewe..bei za muhonda ndio hzo but za mchikichini ni 5000,6000,7000 Hadi 9000...but wanaanza na dozen labda Tano..hapo nao wanachukua store za wachina na WAbongo..acha utapeli wako bwege wwzile wanauza Kwa dozen 10000,9500,8000 ukiwa na 1000000 unaweza kupata dozen nyingi sana ila sjui wew mtaji wako bei gani
Sema kimeumana 😁Tapeli katika ubora wako..hzo chupi mtaa wa muhonda wao wanachukua mchikichini...huna unachojia tapeli wewe..bei za muhonda ndio hzo but za mchikichini ni 5000,6000,7000 Hadi 9000...but wanaanza na dozen labda Tano..hapo nao wanachukua store za wachina na WAbongo..acha utapeli wako bwege ww
Safi sana Mkuu huu ndio Uzalendo sasaKwa waliopo Dodoma, Dar na maeneo mengine ya Tanzania na toa OFA ya mwenzi mmoja ya kuwaunganisha na Wachina wanaoshusha na kuuza mzigo wa bei ya jumla kariakoo kwenye bidhaa zifwatazo.
Kampuni za kichina zinazoshusha hands bags mfano hands bags zote za suzens, wahha, botiouqe, LV Kwa anayehitaji kufungua duka la hands bags na hajui wapi atapata mzigo wa bei ya jumla wa hands bags Kwa bei ya kitonga anicheki au pia kama kuna mfanyabiashara anahangaika wapi atapata kununua hands bags za bei ya chini kariakoo anicheki nitamunganisha na wachina wanaoshusha hands bags za jumla kuhusu bei za hands bags zipo hands bags za 4500 na kuendelea.
Kampuni za vifaa vya electronics mfano radio, Tv, na fridge n.k kwaanayehangaika na kujiuliza wapi nitapata mzigo wa bei nafuu kwenye bidhaa za electronic basi anicheki nitamunganisha na kampuni ya solar max, kampuni ya ailyons, kampuni ya hisence, kampuni ya Mr uk, kampuni ya aboader, kampuni ya Good vision, kampuni ya star x kama unahitaji Tv nch 17 hadi 75 Kwa bei za kitonga nicheki nitamunganisha na wachina wanauza bei za jumla kuhusu bei Kuna Tv nch 32 unapata hadi Kwa 195000
Wachina wanaoshusha Nguo za ndani za kike mfano taiti za aina zote mfano bana tumbo, normal Kwa anayehitaji kupata wachina wanaoshusha mzigo wa jumla kweny hizi bidhaa atanicheki niweze kumunganisha na wachina
Wachina wanaoshusha Neti mfano Neti zote za chuma na duara Kwa mtu yoyote anayehitaji kupata connection ya wachina wanaouza Neti Kwa bei za jumla anicheki nina connection na wachina wa luck Neti na baadhi ya kampuni bei za Neti zipo 14000,16000 n.k
Wachina wanaoshusha begi za migongogoni, Kwa wafanyabiashara wanaohitaji Kujua wapi watapata begi za migongoni Kwa bei nafuu ila hawajuiajui wapi watapata anicheki nitamunganisha na wachina wanaouza begi za kampuni ya ponaso, Marcelo n.k
Wanaoshusha jeans na kadeti, Kwa wale wanaohitaji kupata connection ya wanaoshusha jeans na kadeti Kwa bei ya jumla kariakoo wanicheki nitamunganisha na wauzaji wa bei za jumla.
Wanaoshushaha Gauni za Nairobi na KICHINA, Kwa wale wanaohitaji connection za wanaouza na kushusha Gauni za bei ya jumla kutoka china na Nairobi watanitafuta niwaunganishe na wachina wanaouza bei kitonga.
Connection za wachina wa flat shoes Kwa wale wanaohitaji kupata connection za wachina wanao shusha viatu vya jumla pia nitamunganisha na mchina wa excellent na wengineo.
NB: Connection za hawa wachina wote ni za wale wanaouza mzigo Kwa bei ya jumla na ndio hawa wanaowauzia wafanyabiashara wengine Na ofa hii natoa ndani ya mwezi mmoja tu Kwa mda huu nipo Dodoma kwahyo kama upo dodoma na sehemu zingine unahitaji connection nicheki hizo picha ni baadhi ya sample tu
View attachment 2546069View attachment 2546071View attachment 2546073View attachment 2546074View attachment 2546075
Nahitaji zip bag lock na vibobo unaconnection?Kwa waliopo Dodoma, Dar na maeneo mengine ya Tanzania na toa OFA ya mwenzi mmoja ya kuwaunganisha na Wachina wanaoshusha na kuuza mzigo wa bei ya jumla kariakoo kwenye bidhaa zifwatazo.
Kampuni za kichina zinazoshusha hands bags mfano hands bags zote za suzens, wahha, botiouqe, LV Kwa anayehitaji kufungua duka la hands bags na hajui wapi atapata mzigo wa bei ya jumla wa hands bags Kwa bei ya kitonga anicheki au pia kama kuna mfanyabiashara anahangaika wapi atapata kununua hands bags za bei ya chini kariakoo anicheki nitamunganisha na wachina wanaoshusha hands bags za jumla kuhusu bei za hands bags zipo hands bags za 4500 na kuendelea.
Kampuni za vifaa vya electronics mfano radio, Tv, na fridge n.k kwaanayehangaika na kujiuliza wapi nitapata mzigo wa bei nafuu kwenye bidhaa za electronic basi anicheki nitamunganisha na kampuni ya solar max, kampuni ya ailyons, kampuni ya hisence, kampuni ya Mr uk, kampuni ya aboader, kampuni ya Good vision, kampuni ya star x kama unahitaji Tv nch 17 hadi 75 Kwa bei za kitonga nicheki nitamunganisha na wachina wanauza bei za jumla kuhusu bei Kuna Tv nch 32 unapata hadi Kwa 195000
Wachina wanaoshusha Nguo za ndani za kike mfano taiti za aina zote mfano bana tumbo, normal Kwa anayehitaji kupata wachina wanaoshusha mzigo wa jumla kweny hizi bidhaa atanicheki niweze kumunganisha na wachina
Wachina wanaoshusha Neti mfano Neti zote za chuma na duara Kwa mtu yoyote anayehitaji kupata connection ya wachina wanaouza Neti Kwa bei za jumla anicheki nina connection na wachina wa luck Neti na baadhi ya kampuni bei za Neti zipo 14000,16000 n.k
Wachina wanaoshusha begi za migongogoni, Kwa wafanyabiashara wanaohitaji Kujua wapi watapata begi za migongoni Kwa bei nafuu ila hawajuiajui wapi watapata anicheki nitamunganisha na wachina wanaouza begi za kampuni ya ponaso, Marcelo n.k
Wanaoshusha jeans na kadeti, Kwa wale wanaohitaji kupata connection ya wanaoshusha jeans na kadeti Kwa bei ya jumla kariakoo wanicheki nitamunganisha na wauzaji wa bei za jumla.
Wanaoshushaha Gauni za Nairobi na KICHINA, Kwa wale wanaohitaji connection za wanaouza na kushusha Gauni za bei ya jumla kutoka china na Nairobi watanitafuta niwaunganishe na wachina wanaouza bei kitonga.
Connection za wachina wa flat shoes Kwa wale wanaohitaji kupata connection za wachina wanao shusha viatu vya jumla pia nitamunganisha na mchina wa excellent na wengineo.
NB: Connection za hawa wachina wote ni za wale wanaouza mzigo Kwa bei ya jumla na ndio hawa wanaowauzia wafanyabiashara wengine Na ofa hii natoa ndani ya mwezi mmoja tu Kwa mda huu nipo Dodoma kwahyo kama upo dodoma na sehemu zingine unahitaji connection nicheki hizo picha ni baadhi ya sample tu
View attachment 2546069View attachment 2546071View attachment 2546073View attachment 2546074View attachment 2546075
0655102011weka namba