Ofa ya Connection ya Wachina wanaoshusha Mizigo ya jumla Kariakoo

zile wanauza Kwa dozen 10000,9500,8000 ukiwa na 1000000 unaweza kupata dozen nyingi sana ila sjui wew mtaji wako bei gani
Tapeli katika ubora wako..hzo chupi mtaa wa muhonda wao wanachukua mchikichini...huna unachojia tapeli wewe..bei za muhonda ndio hzo but za mchikichini ni 5000,6000,7000 Hadi 9000...but wanaanza na dozen labda Tano..hapo nao wanachukua store za wachina na WAbongo..acha utapeli wako bwege ww
 
Sema kimeumana 😁
 
Mkuu mm nataka tv Moja Hisense nchi 32 smart bei gn?
 
Mkuu mm natakaa tv Moja Hisense nchi 32 smart bei gn?
 
Safi sana Mkuu huu ndio Uzalendo sasa
 
Nahitaji zip bag lock na vibobo unaconnection?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…