Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si uzi nigekua nataka kuza ningeuza kitambo sana
Taa Nisikudanganye siwafahamu kabisaBas mkuu nichomeshe bas nataka taa za van light wat 3,5,7,20,28 Kama unayo naomba mkuu connect njoo dm Niko ddm ilazo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
haaaaa hapana wale wezi sana mzeeAu ndio wale wa "niagize China!? "
hapana hivo vipo nje ya uwezo wanguNataka accessories za magari mkuu
Kariakoo wauzaji wa jumla wapo shida inakuja hivo vitu sjawah kabisa kuviuza kwahyo ni ngumu sana kujua kipi bora kama unaweza njoo kariakoo nikupeleke kweny maduka ya vifaa vya ujezi ucheki mwenyeweMimi nataka vifaa vya ujenzi kama tiles, mabomba, nyaya ya wiring, taa, rangi etc.
Sitaki vya kuuza bali vya kumalizia nyumba yangu. Unanisaidiaje hapo mkuu United ya Ferguson ?
Kariakoo wauzaji wa jumla wapo shida inakuja hivo vitu sjawah kabisa kuviuza kwahyo ni ngumu sana kujua kipi bora kama unaweza njoo kariakoo nikupeleke kweny maduka ya vifaa vya ujezi ucheki mwenyewe
weka namba
0656102011weka namba
Watakuwepo lakin mim siwafahamu mim nawafahamu wa bidhaa nilizoandika kweny nyuziNa hao wachina hakuna mwenye anavyo hivi?
Mkuu kuna jeans na kadet k.koo jamaa wanauza 5,000/= wale wanapanga chini, kama unajua chimbo wanakozipata naomba hiyo connectionWatakuwepo lakin mim siwafahamu mim nawafahamu wa bidhaa nilizoandika kweny nyuzi
Nazani Kwa wakinga zile mara nyingi zinakua saleMkuu kuna jeans na kadet k.koo jamaa wanauza 5,000/= wale wanapanga chini, kama unajua chimbo wanakozipata naomba hiyo connection
Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app