Ofa ya Connection ya Wachina wanaoshusha Mizigo ya jumla Kariakoo

Bas mkuu nichomeshe bas nataka taa za van light wat 3,5,7,20,28 Kama unayo naomba mkuu connect njoo dm Niko ddm ilazo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Taa hapana Kuna vingine Nisikudanganye bado siwajui afu izo nyingi wanaagiza wabongo wenyewe
 
Naomba nicheki PM maana yako inagoma...
Nahitaji connection ya jeans za kiume na tshirt
 
Mimi nataka vifaa vya ujenzi kama tiles, mabomba, nyaya ya wiring, taa, rangi etc.

Sitaki vya kuuza bali vya kumalizia nyumba yangu. Unanisaidiaje hapo mkuu United ya Ferguson ?
 
Mimi nataka vifaa vya ujenzi kama tiles, mabomba, nyaya ya wiring, taa, rangi etc.

Sitaki vya kuuza bali vya kumalizia nyumba yangu. Unanisaidiaje hapo mkuu United ya Ferguson ?
Kariakoo wauzaji wa jumla wapo shida inakuja hivo vitu sjawah kabisa kuviuza kwahyo ni ngumu sana kujua kipi bora kama unaweza njoo kariakoo nikupeleke kweny maduka ya vifaa vya ujezi ucheki mwenyewe
 
Na hao wachina hakuna mwenye anavyo hivi?
Kariakoo wauzaji wa jumla wapo shida inakuja hivo vitu sjawah kabisa kuviuza kwahyo ni ngumu sana kujua kipi bora kama unaweza njoo kariakoo nikupeleke kweny maduka ya vifaa vya ujezi ucheki mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…