X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
-
- #161
wote tutakufa....ata wanao kaa pia hufa ama kama kuna mtu ambae unamfahamu amedumu milele unielekeze nikamuonewenzako wanakufa wewe unakimbilia uko
ngoja nimwite bro Hamisi
kwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.
najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa.
View attachment 1898297
Bado unatafuta KAZI ya Polisi?Unamjua Hamza?kwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.
najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa.
View attachment 1898297
amefanyaje....?Bado unatafuta KAZI ya Polisi?Unamjua Hamza?
kazi ipi ni nzuri...nielekeze...Kazi ya Upolisi sio nzuri, Achana nayo.Raia watakuchukia Sana.
kazi ipi ni nzuri...nielekeze...Kazi ya Upolisi sio nzuri, Achana nayo.Raia watakuchukia Sana.
ndugu yangu ughaibuni nataka kwenda ila bado mipango haijakaa sawa...kutafuta alternative sio mbaya 1 ikishindwa unaweka ata 2Kwani ughaibuni huendi tena mkuu?
Haya we jamaa Prince Mhando kazi ni kwakokwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.
najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa.
View attachment 1898297
nashukuru sana ngoja nijaribu bahati yanguHaya we jamaa Prince Mhando kazi ni kwako View attachment 1949347
nashukuru sana ngoja nijaribu bahati yangu
sina fani yoyote zaidi ya elimu ya kidato cha nne labda na uderevaMkuu una fani gani kwani..
sina fani yoyote zaidi ya elimu ya kidato cha nne labda na udereva
Mwache ajaribu bhn Mungu mkubwa
Mwache ajaribu bhn Mungu mkubwa
Noamba nikushirikishe hili.nashukuru sana ngoja nijaribu bahati yangu
udemy ndio wapi ndugu yanguAu nenda Udemy kajifunze Open source intelligence kwa siku tatu pekee, Polisi hawana Hawa watu kwa Sasa na hawafundishi hiki kitu huko depo kwa Sasa wanataka watu wenye fresh knowledge about Osint kutoka mtaani.
Ukisema tu unacho hicho na una udereva umekula kazi mzawa.
Kazi inabaki kwako kwenda kugangamala depo tu.