d one
Member
- Jun 5, 2017
- 24
- 20
Asalaam wakuu
Ktk ile ofa yangu wengi wamenijia inbox na kupendekeza jina liwe bashite.
Sasa nimeogopa kutengeneza bango maana hilo jina mmmh! Halitakuwa na shida kweli? Lisije kuniletea shida.
Maoni yenu pls
Kama litapita ofa itamwangukia aliekuwa wa kwanza kulitaja post iliyopita
Ktk ile ofa yangu wengi wamenijia inbox na kupendekeza jina liwe bashite.
Sasa nimeogopa kutengeneza bango maana hilo jina mmmh! Halitakuwa na shida kweli? Lisije kuniletea shida.
Maoni yenu pls
Kama litapita ofa itamwangukia aliekuwa wa kwanza kulitaja post iliyopita