Mwanamuziki ommy dimpoz ametangaza kugawa sumu za mpya i phone 7 kwa mashakizi zake
Ofa iyo imepokelewa tofauti na mashabiki wake baada ya picha alioweka ikimbatana na kilainishi cha mafuta ya vaseline, kila shabiki amekuwa na tafsiri tofauti huku wengine wakidhani anaamasisha mambo ya ushoga
mbona ni akili ndogo sana kuelewa jamaa si anataka kutoa nyimbo na alikiba inaitwa kajiandae anataka kiki hawa wasanii wa bongo wanakopita tayar diamond alisha pita sasa ni kimya kimya tu na salome