OFFER, Jezi ya Simba Kwa TZS 10,000/- tu

OFFER, Jezi ya Simba Kwa TZS 10,000/- tu

Jezi zimedoda, itafika wakati watagawa bure
offer inaisha kesho usiku, discount na sales vitu vya kawaida kwenye business na wanaonunua wengi ni wauza jezi..kuna faida gani kubaki na mzigo wakati mwezi wa nane anaingiza jezi mpya za msimu ujao?
 
Vunja bei fala. Na ubosi wangu kanitoa home mpaka Lumumba halafu jezi hawana
Wajinga sana wale, watu wengi sana wamerudi kwa upumbavu wao, hawakujipanga na hiyo ofa yao,. Ngoja tuvizie kesho labda watazileta
 
Wajinga sana wale, watu wengi sana wamerudi kwa upumbavu wao, hawakujipanga na hiyo ofa yao,. Ngoja tuvizie kesho labda watazileta
wauzaji wa rejareja ndo wanazibeba wengi ila inabidi wawe makini maana msimu unaisha mzigo mpya unakuja huu watu wataacha nunua soon
 
Hizi jezi ni overated hata hii elfu 10 bado ni kubwa, ilibidi ziuzwe elfu 3
 
Back
Top Bottom