EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Kesho naamkia vunjabei Dom nachukua3Vunja bei fala. Na ubosi wangu kanitoa home mpaka Lumumba halafu jezi hawana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho naamkia vunjabei Dom nachukua3Vunja bei fala. Na ubosi wangu kanitoa home mpaka Lumumba halafu jezi hawana
Msukule wewe kama jezi zenuUsipanic mjomba , bora hata mimi siyo mbaya sana kama hizo jerseys 😂
HalisiHiyo ndiyo thamani yake
offer inaisha kesho usiku, discount na sales vitu vya kawaida kwenye business na wanaonunua wengi ni wauza jezi..kuna faida gani kubaki na mzigo wakati mwezi wa nane anaingiza jezi mpya za msimu ujao?Jezi zimedoda, itafika wakati watagawa bure
Wajinga sana wale, watu wengi sana wamerudi kwa upumbavu wao, hawakujipanga na hiyo ofa yao,. Ngoja tuvizie kesho labda wataziletaVunja bei fala. Na ubosi wangu kanitoa home mpaka Lumumba halafu jezi hawana
Subili msimu uishe viongozi wenu wa ndala wapite na kalandinga wawauzie jezi buku tatu tatuMsimu wa hasara ni hasara tu, midabwada imedoda
Hiyo itakuwa ni offer kama zawadi ya ubingwa wa ligi na FASubili msimu uishe viongozi wenu wa ndala wapite na kalandinga wawauzie jezi buku tatu tatu
wauzaji wa rejareja ndo wanazibeba wengi ila inabidi wawe makini maana msimu unaisha mzigo mpya unakuja huu watu wataacha nunua soonWajinga sana wale, watu wengi sana wamerudi kwa upumbavu wao, hawakujipanga na hiyo ofa yao,. Ngoja tuvizie kesho labda watazileta
Usipanic mjombaMsukule wewe kama jezi zenu
Hata bure sichukui kabisaKwenda ukoo.
Ukinunuliwa huvai?
Mjomba mjomba acha matusi, kwani simba mmejaa walevi?mbona unachekacheka tu, umeshakula utopolo?
mlevi baba yakoMjomba mjomba acha matusi, kwani simba mmejaa walevi?
Bila alama ya kiulizo kwenye sentensi yako, means ni maelezo tu tena umenisifia "we mzuri" thank you😀 kama unauliza weka kiulizo nikujibu.
naww mlev mama yakomlevi baba yako
naona unanunua kesi,unawashwa wapi?naww mlev mama yako
acha upuuz kjananaona unanunua kesi,unawashwa wapi?