Hapo kuna wachezaji kama 18. Ina maana itakuwa na team 18?Yule Micky JR kawadanganya watu ,CAF wamepost rasmi. Angalieni hapa Mchezaji wa Yanga ni yupi?View attachment 2320316
Yule Micky JR kawadanganya watu ,CAF wamepost rasmi. Angalieni hapa Mchezaji wa Yanga ni yupi?View attachment 2320316
Yule Micky JR kawadanganya watu ,CAF wamepost rasmi. Angalieni hapa Mchezaji wa Yanga ni yupi?View attachment 2320316
Mchezaji wa utopolo atakuwa ni chama 😀😀😀Yule Micky JR kawadanganya watu ,CAF wamepost rasmi. Angalieni hapa Mchezaji wa Yanga ni yupi?View attachment 2320316
Unafahamu vigezo vya kushiriki Super League?Hata wakiweka timu 48, Uto hawawezi kuwepo hawana vigezo
Acha utopolo huu mtoa hoja hii, hii picha sio kwa timu zitakazo shiriki hii super ligi, angalia kushoto kwako kabisa kuna picha ya Tau na pia angalia in middle kuna mchezaji ,huyu yupo team moja na Tau,hapo kuna wachwzaji wawili wa Mamelodi Sundowns, Zwane na mwingine nimemsahau Jina ila anatoka Namibia 🇳🇦, acha uongoYule Micky JR kawadanganya watu ,CAF wamepost rasmi. Angalieni hapa Mchezaji wa Yanga ni yupi? HiiView attachment 2320316
unajua hata UEFA ilikataliwa eeSuper league itaua michuano ya CACL na kunufaisha klabu chache tu tena zenye uwezo mkubwa kiuchumi.
Kachezeni nyie mnajifanyaga wakubwa mwisho wa siku mna anzia chekekeaHata wakiweka timu 48, Uto hawawezi kuwepo hawana vigezo
Wautoe ule mwiko.Yule Micky JR kawadanganya watu ,CAF wamepost rasmi. Angalieni hapa Mchezaji wa Yanga ni yupi?View attachment 2320316
Itategemea na vigezo watakavyotumia kupata washiriki kwenye hayo mashindano, itabidi wahakikishe wanaweka vigezo ambavyo havitaondoa ubora wa CAF CL, ili napo paendelee kubaki na timu zenye ubora, ushindani ubaki kote.Super league itaua michuano ya CACL na kunufaisha klabu chache tu tena zenye uwezo mkubwa kiuchumi.
Wewe ulipokalia ndonga ya Mbowe ulikuwa na vigezo?Hata wakiweka timu 48, Uto hawawezi kuwepo hawana vigezo