middle east
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,308
- 1,690
Naona wengi wanasema juve anabeba ndoo ...lakin hii gemu mtu yoyote akipigwa dakika za 30 za kwanza Basi mchezo umeisha ...alaf real wawe makini sana maana Ramos pepe na casemiro ni marafiki sana na red cards