OfficialLynn: Siwezi ku-date na mwanaume asiye na hela

Uyu mtoto hana uzuri wowote namjua sana mtoto wa buguruni uyu afu kwao maisha ni ya kawaida mnoo sana tena namjua toka akiwa bado anasoma akaacha shule form two sababu ya dick afu ni mfupi sana msipagawe na izo HD za camera
Daaah! Uzi na#59 ameeleza kuwa aliacha Shule form 4, mwanzoni, kwamba hakumaliza form four. Wewe unasema form Two aliacha. Sijui yupi Sasa ndiyo mkweli Kati yenu.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Presenter: ulishawahi kujutia pengine kutoa mimba yake?
OfficialLynn: sijawahi, mimi sijawahi kutoa mimba yake kwanza, sijawahi.

Kama hajawahi kutoa mimba yake si angekuwa na mtoto? Au ndio jibu kuwa hajawahi kupewa mimba na bwana yule?

 
Yupo sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…