"Offside trap" mbinu inayotumiwa na Barcelona Fc kudhibiti wachezaji tishio duniani, mpaka sasa hakuna kocha mwenye mwarobaini wa kuizuia

"Offside trap" mbinu inayotumiwa na Barcelona Fc kudhibiti wachezaji tishio duniani, mpaka sasa hakuna kocha mwenye mwarobaini wa kuizuia

Kadri unavyozidi kuwakimbia ndivyo unavyorudi nyuma

Mwisho wa siku walijikuta wapo kati kati ya mstariView attachment 3137475

Hapa Madrid wanapiga faulo angalia mpira ndio unapigwa haujapaa

Madrid wapo offside watu 6 kwa mpigo

Muangalie refa

Hapo hata kama refa ni tatu malogo anaachaje kuona😆

Halafu hao watatu wa barca ndio wanakimbia kuokoa huku wengine zaidi ya 7 wakilikimbia goli

Hii mkuu ipo kiufundi usichukulie poa
Umechukua matukio machache, kuna baadhi ya matukio, kina mbappe na vinicius wenyewe walizinguwa.

Katika thread yako, picha ya pili nadhani inaonesha barca wameweka mtego wa offside vinicius kauvunja na valverde kaweka pasi moja mbele.
 
Ni vile tu hii mbinu Ancellot hakuifanyia assignment ila watu wakikaa wakaifanyia assignment hiyo mbinu hawezi fanya KAZI tena! For me it was a surprise to madrid
 
Hiyo trap haitofautiani sana na offside trick iliyokuwepo siku zote. Nadhani wameiboresha katika eneo moja. Kuwa na perfect timing ya kujua na kureact kabla tu ya mpira unapopigwa, tena ukichukulia siku hizi kuna faida ya V.A.R hautegemei tu macho ya mwamuzi.
 
Siku zote falsafa yangu ni akili ikishindwa kutatua jambo fulani basi ujinga au wendawazimu utumike kubuni njia mpya ya kutatua changamoto

OFFSIDE TRAP NI NINI?

Hii ni mbinu mpya inayotumiwa na FC BARCELONA kuharibu shambukizi la wapinzani na kuwapunguza makali washambuliaji hatari duniani kama Kilylian Mbappe.

Mabeki wa Barcelona hujipanga ktk mstari myoofu kwa ustadi mkubwa kwq kuhakikisha mchezaji wa timu pinzani yupo offside, yaani mabeki wite huliacha goli wanasogea mbele kabisa kuhakikisha kwamba mchezaji wa timu pinzani yupo offside

Hii huwafanya washambuliakji warudi nyuma zaidi mwisho wa siku wanajijuta waoo kati kati ya uwqnja 😀😀😀😀


Ukiangalia hii picha utaona wachezaji watatu wa Barca waliopo kulia wanamuangalia mchezaji wa madrid aliye na mpira, huku beki aliye kushoto yule wa nne anawaangalia wenzake.

Mpira kabla haujapigwa wao husogea mbele kisha kumwacha mpinzani akiwa offside ndio huanza kumkimbiza

Hapa utaona mshambuliaji wa Madrid yupo offside na mwenzake

Hii mbinu ikimfanya mbape akutwe offside marq 8 na wenzake mara 4 jumla offside 12 😆😆

Hawa Barcelona ni kama wendawazimu wao ukiwq unapiga faulo ile mchezaji wa timu pinzani anataka kupiga wao hukimbia mbele na kukuachia goli ufunge, unakuta offside wwpo watu 6 😆

Mpaka sasq hakuna kocha mwenye mwwrobaini wa hii mbinu

Wewe kama mdau unaionaje hii mbinu?
Inachekesha sana🤣🤣
 
Ni vile tu hii mbinu Ancellot hakuifanyia assignment ila watu wakikaa wakaifanyia assignment hiyo mbinu hawezi fanya KAZI tena! For me it was a surprise to madrid
Hans Flick amekuwa akiitumia hii densive approach tangu Yuko FC Bayern na ndio aliyochukua nayo vikombe 6 ndani ya mwaka mmoja....

Na tangu amefika Barcelona imekuwa ndio mbinu yao kuu ya kiulinzi na imewasaidia sana mpaka hapa walipofika ni mara chache sana imewafelisha.

Yaani kabisa wewe unaamini eti Ancellot hakujua kwamba Barcelona wataingia na high line defensive approach kwenye game ya El classico??? alijua sana na aliifanyia kazi na ndio maana kipindi Cha kwanza Real Madrid waliwa outsmart sana mabeki wa Barcelona wakatengeneza nafasi nyingi sana za kufunga ila wakashindwa kuzitumia.

Kipindi cha pili Wachezaji wa Barcelona wakaja wameifanyia maboresho tayari hasa kwenye timing na wakafanikiwa, kwa upande mwingine niseme kipindi Cha pili mabeki wa Barcelona waliwa outsmart akina Mbappe.

High line defensive approach ni risk sana lakini mpaka ukutane na washambuliaji wanaotumia akili nyingi mno.
 
Hiyo mbinu kwa huko majuu sawa ila timu itakayoiga hiyo mbinu kwa hapa bongo imeisha na hawa marefa wetu mmmh
Hii Ina thrive kwenye mazingira yenye technology ya Hali ya juu na marefe wa kiwango Cha duniani ambao hawafanyi makosa ya kibinadamu kiholela holela.
 
mbona dawa ipo tena nzuri tu anazuga mchezaji kuwa ameingia offside nyinyi mtamuangalia yeye as target ya offside,punde hiyohiyo anachomoka mchezaji ambae hayupo offside!.. na kama mlibweteka mkijua mpira ataufata alie offside lkn akaufata alie onside basi tambo zake mbili tu mnaweza mkalia kilio!.

tena mkifungwa magori mawili ya hivyo basi mnapoteana!

sio rahisi kama unavyosema, ingekuwa vyepesi hivyo Real Madrid wangefanya hivyo ile juzi.
 
Kadri unavyozidi kuwakimbia ndivyo unavyorudi nyuma

Mwisho wa siku walijikuta wapo kati kati ya mstariView attachment 3137475

Hapa Madrid wanapiga faulo angalia mpira ndio unapigwa haujapaa

Madrid wapo offside watu 6 kwa mpigo

Muangalie refa

Hapo hata kama refa ni tatu malogo anaachaje kuona😆

Halafu hao watatu wa barca ndio wanakimbia kuokoa huku wengine zaidi ya 7 wakilikimbia goli

Hii mkuu ipo kiufundi usichukulie poa

Hapo senegal vs japan
hii ipo kiufundi zaidi. hakika
 
Back
Top Bottom