Bakantanda,
Mie ni mpenzi wa kuangalia Investgestion Discovery (ID) TV. Kwa hayo uliyoyaandika hapo juu, huyu mama LAZIMA achunguzwe kwa uhakika zaidi. Inaonekana kuna njama zilishasukwa ili kummaliza jamaa. Haiwezekani wanaume wawili wanakufa kwa RISASI wakiwa na huyu mama. Panga pangua hapa kuna namna,
Kama kuna watu wa karibu yake hasa usalama wa Taifa, basi huyu POLISI hawezi kabisa kuwa tishio kwenu. Fuatilieni hili tukio hadi kilichotokea hapo kijulikane. Msimuache huyu mama akaja kuuwa mwingine (kama ni kweli anahusika).
RIP Kaombwe,,,,
Kuna vitu maishani vinashangaza. Ila we are part of it
Upo sahihi kabisa mkuu, sema kwa tanzania yetu hii sijui kama marehemu atapewa haki yake, mimi nimeumia sana maana alikuwa a very close friend of mine. Cha kupigania kwa sasa ni walau wadogo zake ambao ni yatima wapate mgao wa mali za marehemu Fredy na alizoachiwa na wazazi wake kabla huyu mwnamke ajawadhulumu. Kweli si kila mwanamke wa kuoa.
Fredy, ulikuwa very young na handsome, ungejikaza kiume Mungu angekupa mwanamke bora. Your images will always be our eyes. Umenihuzunisha sana.
Upo sahihi kabisa mkuu, sema kwa tanzania yetu hii sijui kama marehemu atapewa haki yake, mimi nimeumia sana maana alikuwa a very close friend of mine. Cha kupigania kwa sasa ni walau wadogo zake ambao ni yatima wapate mgao wa mali za marehemu Fredy na alizoachiwa na wazazi wake kabla huyu mwnamke ajawadhulumu. Kweli si kila mwanamke wa kuoa.
Fredy, ulikuwa very young na handsome, ungejikaza kiume Mungu angekupa mwanamke bora. Your images will always be our eyes. Umenihuzunisha sana.
Hii haiwezekani bana! Toka lini wanawake wameanza kuchiti? Wanawake huwaga hawachiti bana. Huyo jamaa maisha tu yamemshinda na akaamua kujiua sasa wanamsingizia infii mkewe.
View attachment 30932
alimaliza masomo korea miezi sita iliyopita
View attachment 30931Ofisa mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Fred Kaombwe (28), amejiua kwa kijipiga risasi kichwani baada ya kumkuta mkewe akiwa na mwanamume mwingine katika baa mojawapo mjini Dodoma.
Baada ya hapo, Kaombwe inadaiwa alimkimbiza mkewe huyo Vicky Kaombwe (34) na baadaye alimpiga risasi na kumjeruhi sehemu za mbavu.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, Elizabeth Masiaga alisema ,Kaombwe alijipiga risasi juzi saa 3.00 usiku katika mtaa wa Madole eneo la Kigamboni mjini Dodoma.
Kamanda Masiaga alisema, Kaombwe alifariki dunia wakati akipelekwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kupatiwa matibabu wakati mkewe Vicky amelazwa katika hospitali hiyo.
Hata hivyo, hali ya majeruhi huyo anayefanya kazi katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Yohana mjini Dodoma bado si nzuri na Kamanda Masiaga aliahidi kutoa taarifa zaidi mara baada ya kukamilika kwa uchunguzi.
Akizungumza na gazeti hili, mkwe wa marehemu, Thadei Nghwaya, alidai kulikuwa na ugomvi wa kifamilia na kwamba, Kaombwe alijipiga risasi kifuani na si kichwani baada ya kuhisi kuwa amemuua mkewe.
Nghwaya alisema, baada ya vipimo, ilibainika na wataalamu kuwa risasi aliyojipiga Kaombwe ilipitiliza na haikubaki mwilini.
Akizungumza na gazeti hili kwa masharti ya kutotajwa jina, mmoja wa mashuhuda alidai kuwa, kabla ya mauaji hayo Kaombwe alimkuta mkewe akiwa na mwanamume mwingine katika baa.
Alidai kuwa, baada ya hapo, Vicky alikimbilia katika gari lake na kuondoka nalo huku akifukuzwa na mumewe katika gari lingine hadi walipofika nyumbani kwao eneo la Kigamboni.
Shuhuda huyo alidai kuwa, Vicky aliposhuka katika gari kwa lengo la kufungua geti, Kaombwe alikuwa ameshafika akatoka ndani ya gari lake na kumpiga risasi mkewe.
Kaombwe alisafirishwa jana kwenda Tabora kwa maziko.
source: habari leo
MIE NAWASHAURI WANAUME WENZANGU UKIKUTA ZALI KM HILI TAFAKARI KWANZA KISHA CHUKUA HATUA.
JAMAA KAFA, DEMU MZIMA. IT MEANS ATAENDELEA KUPOZA MAUMIVU NA JAMAA LAKE FISADI LA MAPENZI.
HASIRA YA NINI HAWA VIUMBE WASIWAUMIZE VICHWA SI WAMEJAA KILA MAHALA NA WANATAFUTA WATU KILA SIKU.
AJIRA YA MWANAMKE KM MKE SIKU ZOTE HAIJAI NAFASI ZIPO MSIUMIZE VICHWA OOH ETI NAMPENDA NANI KASEMA?😛ound:
gaga soma yafuatayo chini
mkuu kuna na Miriam helman hapo kahama sec, nakumbuka cku 1 aliumwa malaria akiwa dom no. 1 alianzakulia kwa sauti akidai mpenzi wake miriam aitwe (aje kny bwen la boys) ilibidi matron aitwe, Fred alizid kulia matron ilimbidi amwagize yule binti aje, ndo jamaa kutulia baada ya kukaa na miriam kwa mda wa saa kama 1, episod izo zilijirudia kwa siku tofauti na kitulizo chake alikuwa ni miriam!Kweli .enzi za Tembo beach .peninsula. Tina kamgisha.Anastela
.mwembeseco.
mkuu kuna na Miriam helman hapo kahama sec, nakumbuka cku 1 aliumwa malaria akiwa dom no. 1 alianzakulia kwa sauti akidai mpenzi wake miriam aitwe (aje kny bwen la boys) ilibidi matron aitwe, Fred alizid kulia matron ilimbidi amwagize yule binti aje, ndo jamaa kutulia baada ya kukaa na miriam kwa mda wa saa kama 1, episod izo zilijirudia kwa siku tofauti na kitulizo chake alikuwa ni miriam!
hii kitu kama movie vile?
the guy was still young
RIP
mkuu kuna na Miriam helman hapo kahama sec, nakumbuka cku 1 aliumwa malaria akiwa dom no. 1 alianzakulia kwa sauti akidai mpenzi wake miriam aitwe (aje kny bwen la boys) ilibidi matron aitwe, Fred alizid kulia matron ilimbidi amwagize yule binti aje, ndo jamaa kutulia baada ya kukaa na miriam kwa mda wa saa kama 1, episod izo zilijirudia kwa siku tofauti na kitulizo chake alikuwa ni miriam!
jamaa kaniuma sana,nasikia akiwa korea alikuwa akituma magari ya kuuza kwa mkewe kama kawaida,lakini kuna gari moja lake, very expensive alituma kwa mkewe vick,aliporudi hakulikuta hapo ndipo issue ilipoanzia,kuhusu kumfumania ashamfumania mara kibao,ila hiyo gari ndio ilikuwa tatizo kila leo...mi naona upelelezi wa kina ufanyike..hiki kifo si bure...r.i.p fred
mkuu kuna na Miriam helman hapo kahama sec, nakumbuka cku 1 aliumwa malaria akiwa dom no. 1 alianzakulia kwa sauti akidai mpenzi wake miriam aitwe (aje kny bwen la boys) ilibidi matron aitwe, Fred alizid kulia matron ilimbidi amwagize yule binti aje, ndo jamaa kutulia baada ya kukaa na miriam kwa mda wa saa kama 1, episod izo zilijirudia kwa siku tofauti na kitulizo chake alikuwa ni miriam!