Ofisa usalama 'feki' anaswa

Siku hizi kila mtu ni Usalama wa Taifa, hata mimi sasa ngoja nijitangaze rasmi, mimi ni Usalama wa Taifa. Mpo hapo, Kova njoo huku upesi unikamate.

Tiba
 
Nooma aisee weka ndani

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
kila mtu ni usalama wa taifa,usipolinda usalama wa taifa lako nani atalinda? Ndio maana kuna ulinzi shirikishi,sungusungu na polisi jamii wote hao ni kulinda usalama wa taifa.

kwaiyo mkuu unakubaliana na mimi huyu mh ni usalama wa taifa ?? Jamaa hakuonyesha hofu yoyote ,,kesho au keshokutwa tutakuwa nae mtaani akiendelea kula bata,,,atakayeweza kufuatilia hii kesi kwa ukaribu tunaomba atujuze kwakila atua tafadhali.
 
Mtuhumiwa anajiyefanya Afisa wa Usalama wa Taifa Alquine Michael Masubo (42) mkazi wa Yombo Buza, ambaye alikamatwa na bastola mbili BROWNING namba A. 956188-CZ83 ikiwa na risasi 12 na MAKNOV namba BA 4799 ikiwa na risasi 19 na kitabu mmiliki wa bastola chenye namba CAR 00071678 chenye jina la P.1827 LT COL Mohammedi H. Ambari

 

Attachments

  • a feki.jpg
    17.9 KB · Views: 2,167


inji hii bana.....tutafika tu
 
Ipo siku tutakuja kamata msaidizi wa "mkulu wa kaya feki", nyie subirini tu coz hizi product za UVCCM ni shida xana.
 
Daa jamaa kala shavu la ukweli.. Hiyo ni ajali tu kazini ..

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hivi polisi wanaanzaje kumkamata myu eti kisa kajiita Usalama wa Taifa? Kwani Usalama wa Taifa huwa ni visible?

Utajuaje kwamba kajiita Usalama wa taifa na siyo au ndiyo?

Hizi sanaa tu, wanataka kutuambia kuwa wale Askari kuanzia tigo, Trafic, Askari wa kawaida etc wanaodaigi rushwa eti ni askari feki, kwamba ndo hawa wanaokamatwa sasa.
 

Huyo sio feki ndugu kwani kuna maafisa usalama hadi vichaa tunao mitaani hapo Kova amebugi meen ua kuna siri imejificha nyuma ya pazia. Isije ikawa ni mbinu ambapo huyu anaweza kutimika kuwadhuru mahabusu wa kisiasa hususani CDM watakapowekwa rumande na lengo lao la kuwauwa liwe limetimia kabla ya 2015
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…