Ofisa usalama 'feki' anaswa

Ishu ya ponda inapotezewa[/QUOTE]

au kuna ishu mpya inaandaliwa hapa. Sijui itakuwa nini. Tz, naililia nchi yangu tu jamani
 
Tangia taifa hili litawaliwe na mafisadi kila sehem kimejawa na vitu na watu wenye nyadhifa fake
 

Taaluma ikikosa weledi lazima watu feki waingie. Mbona sijaona mtu akijofananisha na Usain Bolt anakiam for less than 10 second, ngumu kwani ngumu kufikia viwango hivyo, TISS et el yapasa mufanye reshafle kujua watu wenu wanaendana na kazi zao.
 
Tangia taifa hili litawaliwe na mafisadi kila sehem kimejawa na vitu na watu wenye nyadhifa fake
 
nimjuavyo huyu jamaa si mtu wa usalama namfahamu vizur sana, tushaingia nae ofisi nyingi kwa hicho cheo, kama humjui acha usitee, ila sita sema kwani alishanitishia maisha yangu
 
nimjuavyo huyu jamaa si mtu wa usalama namfahamu vizur sana, tushaingia nae ofisi nyingi kwa hicho cheo, kama humjui acha usitee, ila sita sema kwani alishanitishia maisha yangu

Mkuu.... Kwani anafahamu ID yako?? Hebu funguka!!"
 
mkuu nitafunguka, subiri nitafute vifaa vya kuzuia maumivu wakati wa kung'olewa MENO, KUCHA na KOPE kwasababu hayo mambo mtu hafanyi peke yake ni mtandao mkubwa tena kibaya zaidi hata TISS wanashiriki kwasababu unakuta TISS feki anakuwa rafiki mkubwa wa TISS wa kweli, hii humpa ujasiri wa kutapeli watu kwani hujua baadhi ya mbinu za tiss kupitia kwa marafiki zake, tofauti yao kubwa ni kuwa hawa TISS wa kweli hawasemi cheo chao mara nyingi ila hawa feki hujitambulisha kwa cheo ili uingie mkenge, hata kova alipomtambulisha hadharani alikuwa sahihi, ili watu wamjue wasitapeliwe tena, lakini pia wapo waliotapeliwa bila kujua wametapeliwa
 

Haha, mkuu emenena...
 

Bado tunakusubiri mkuu!!!
 

huyo mwarabu anaitwa nani?
 
tatizo waandishi wetu hawafatilii habari mpaka mwisho ndio maana wanatumiwa na wanasiasa na watu wengine walitakiwa kujua kama yule mtu kashtakiwa kama hajashtakiwa kwanini kova alimtangaza ofisa usalama feki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…