Ofisa wa Afya Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe afukuzwa kazi kwa madai kughushi cheti

Kwanini upate tabu,soma Katiba ujue serikali za Mitaa ni nini na ina hadhi gani ki nchi,then utakuwa umejipata kwa habari ya swali lako. Asante
 
Rwegana Matala anayetuhumiwa kwa kosa la kuiba shs. Mil 15 amepewa onyo kwa sababu alizila na madiwani, vinginevyo angeishia mahakamani.
 
Alipwe nssf yake aendelee na maisha yake kwa sababu ndio utaratibu mliouunga mkono.
 
Utofauti wa majina na mwaka wa kuhitimu/kuajiriwa si vinaweza kufanya tatizo liwe palepale
Wengine walivyoambia kujiendeleza walitaka short cut, ndo kushindwa kwenda qt na kufoji vyeti.
 
Hii kazi angeweza kufanya Mkurugenzi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…