Habari za kazi ndugu wadau.Napendekeza CAG aondolewe kwenye mfumo na nafasi yake ichukuliwe na wizara zenyewe ziwajibike kwa bunge.
Ofisi ya CAG kwa sasa imejiingiza kwenye ufisadi na hakuna masirahi kwa taifa.
Nasema hivyo kwa sababu kama CAG atakagua kihalali hakuna halimashauri au taasisi ya serikali itapata hati Safi.
Kila ofisi ya serikali ina matumizi yasiyokuwa na msingi ni poshoo tu na manunuzi mengi ni ya kifisadi hayazingatii thamani ya fedha yaani value for money.
Wao wanaangalia makaratasi bila kuangalia thamani ya fedha ni wahasibu wa kukariri na wa mchongo hawana msaada wowote kwa taifa.
Ofisi ya CAG kwa sasa imejiingiza kwenye ufisadi na hakuna masirahi kwa taifa.
Nasema hivyo kwa sababu kama CAG atakagua kihalali hakuna halimashauri au taasisi ya serikali itapata hati Safi.
Kila ofisi ya serikali ina matumizi yasiyokuwa na msingi ni poshoo tu na manunuzi mengi ni ya kifisadi hayazingatii thamani ya fedha yaani value for money.
Wao wanaangalia makaratasi bila kuangalia thamani ya fedha ni wahasibu wa kukariri na wa mchongo hawana msaada wowote kwa taifa.