Ofisi ya Makamu wa Rais tafadhali tumeshachoka na Picha za Kila Siku za Makamu wa Rais akiwa anasalimia Abiria ndani ya ATCL

Ofisi ya Makamu wa Rais tafadhali tumeshachoka na Picha za Kila Siku za Makamu wa Rais akiwa anasalimia Abiria ndani ya ATCL

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hebu jitahidini basi kuanzia sasa muwe mnatuwekea Picha zake akiwa anakagua Mashamba ya Wakulima, anahutunia Maakongamano ya Watu wenye Akili duniani na anatattua Matatizo muhimu na ya Kimsingi ya Watanzania na siyo kila mara tu mnatuonyesha jinsi anavyoongea na Abiria ndani ya Bombardiers na Dreamliners za ATCL.

Sasa mnavyotuwekea Picha zake kila mara akiwa anazungumza na Abiria wa ATCL ndani ya Ndege ndiyo mnataka Kutuambia nini labda iSisi Watanzania wenye Akili na Maarifa mengi ya Kidunia na Masuala?

Au Yeye Mwenyewe Mtani wangu huyo wa Kiha (kwakuwa Kiasili) ni Washamba (Mambwiga) ndiyo huwa anawaambieni muwe mnatupia hizo Picha?
 
Tupiako basi kapicha sisi kina Tomaso tukuamini nakujiridhisha.
 
Back
Top Bottom