Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe iko wazi, Ole Sendeka arudi Simanjiro kuwania ubunge

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe iko wazi, Ole Sendeka arudi Simanjiro kuwania ubunge

sielewi naomba kukumbushwa hata mwaka 2015 ilikuwa kama ilivyo sasa au mwaka huu ni tofauti?
 
anaangukia pua asubuhi na mapema sawa na Mwanri tu

bora hata angegombea hapohapo njombe
 
Eeeh nani anamdanganya Ole Sendeka, Simanjiro hawezi shinda hata kwa 10%, hivi hawa watu mtu hata tathmini yake au kukubaliwa kwake na wananchi hajui, akidanganywa na watu wawili, mmoja mke wake, mwingine mchepuko, mara rafiki wa karibu anadhania anakubalika sanaaaaa, Ole Sendeka ndio byee byeee hiyooo, hutamuona tena, kwanza hakuwa mtendaji mzuri hata kidogo, hiyo ni fursa kwa Mh. Rais kuchagua Mkuu wa Mkoa mpya mzuri
Kama wanaCCM hawataweza kumpitisha Ole Sendeka, vipi kuhusu yule ng'ombe aliyekatwa mkia anayeitwa Ole Milya atatokea wapi?
 
Eeeh nani anamdanganya Ole Sendeka, Simanjiro hawezi shinda hata kwa 10%, hivi hawa watu mtu hata tathmini yake au kukubaliwa kwake na wananchi hajui, akidanganywa na watu wawili, mmoja mke wake, mwingine mchepuko, mara rafiki wa karibu anadhania anakubalika sanaaaaa, Ole Sendeka ndio byee byeee hiyooo, hutamuona tena, kwanza hakuwa mtendaji mzuri hata kidogo, hiyo ni fursa kwa Mh. Rais kuchagua Mkuu wa Mkoa mpya mzuri
Watu wamechoka kufanya kazi na Magu.. Nafikiri hakuna njia nyingine ya kuaga zaidi ya hii..
Hili halina ubishi.
 
Naona Ole Sendeka huyooo Simanjiro. Kesho naona kuna uteuzi tena yani tutaapisha mpaka tuchoke.

Hakuna kuridhika wala nini kudadadadeki. Vyeo vyenyewe unatumbuliwa unatoka patupu kama kufanya kazi ya upupu.
Mkuu, hivi huwa wanapatiwa mafao yao lakini?
 
Mwanri yupo Siha mkuu

sawa..

Mwanri angegombea Tabora alikuwa na uwezekano mkubwa tu wa ushindi tofauti na huko Siha

Mwakasaka mbunge wa hapo hakuna alilofanya..

zaidi alitembelea nyota ya Mwanri,mzee wa Toronto
 
sawa..

Mwanri angegombea tabora alikuwa na uwezekano mkubwa tu wa ushindi tofauti na huko Siha

Mwakasaka mbunge wa hapo hakuna alilofanya..

zaidi alitembelea nyota ya Mwanri,mzee wa Toronto
Nimefurahi Mwanri ameenda Siha ili amnyooshe yule kilaza aliyeunga juhudi. Pia nimefurahi kwa Sendeka ili Ole Milya naye anyooke. Yani ni full mashangwe kila jimbo la muunga juhudi limebana.
 
Kama wanaCCM hawataweza kumpitisha Ole Sendeka, vipi kuhusu yule ng'ombe aliyekatwa mkia anayeitwa Ole Milya atatokea wapi?

Ole Millya atleast anakubalika kidogo ingawa sio sana, but huwezi ku mcompare na Ole Sendeka, yaani Sendeka ndio hawezi pita hata kidogo, subiri uone kura ya maoni, utaja kumbuka
 
Bora ametoka, alikua nuksi sana kwa wananjombe. Tatizo waoga kutumbuliwa, wanajua ubunge huwezi tumbuliwa, wasilo jua ni kwamba watatumbuliwa early in the morning
Shida hawajui bado katakata majina wasiokua na sifa,bado kura za maoni je watachomoka?Hilo wimbi lote la watangazania hawawezi pita wote,ni jambo la wakati tu
 
Mkuu kuna wagombea wangapi huko mpaka sasa
Yaani Wapuuzi waliounga mkono juhudi imekula kwao ,nimeshangaa hadi mtulia naye kachukua fomu wakati kabisa hawezi kupitishwa!!! Alishakula vipande vyake 30 vya fedha za usailiti atulie tu!
 
Magufuli ninacho jua atataka uwanja mkubwa wa mawaziri, kwa hiyo hata taka tena wabunge wa kuteuliwa wamtie mashaka ndio maana wabunge wote wa kuteuliwa kawaambie wakaombe kura.


Pili Magufuli anahitahi watu wachache sana wa ccm ya zamani kama kina mkuchika ambao wanashikilia mikoba na nidhamu ndani ya serukali, wengine atahitaji watu makini na vijana kama kina Jafo.

Naamini wabunge wa ccm 2020-2025 , more than 60% watakua PHD holder.

Sio sababu ya Ole sendeka kuwa kwenye serikali yenye kasi kama hii..

Ajenda ya maendeleo imeteka kila kitu kwa sasa na is not kwa bahati, magufuli is smart beyond many phd holders.

Shida hawajui bado katakata majina wasiokua na sifa,bado kura za maoni je watachomoka?Hilo wimbi lote la watangazania hawawezi pita wote,ni jambo la wakati tu
 
Naona Ole Sendeka huyooo Simanjiro. Kesho naona kuna uteuzi tena yani tutaapisha mpaka tuchoke.

Hakuna kuridhika wala nini kudadadadeki. Vyeo vyenyewe unatumbuliwa unatoka patupu kama kufanya kazi ya upupu.
Tamaa ya madaraka...
 
Back
Top Bottom