Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kukariri!Hakuna kitu kama hicho
Naona Ole Sendeka huyooo Simanjiro. Kesho naona kuna uteuzi tena yani tutaapisha mpaka tuchoke.
Hakuna kuridhika wala nini kudadadadeki. Vyeo vyenyewe unatumbuliwa unatoka patupu kama kufanya kazi ya upupu.
Ungeanza wewe kumpunguzia mamlaka mkeo na kumkasimisha dada wa kazi, ingependeza kabisa.. Nyumbani kwako pangenoga sana.Kuna umuhimu wa kumpunguzia Rais mamlaka
Uliota. Wameshateuliwa wengine.Naona Ole Sendeka huyooo Simanjiro. Kesho naona kuna uteuzi tena yani tutaapisha mpaka tuchoke.
Hakuna kuridhika wala nini kudadadadeki. Vyeo vyenyewe unatumbuliwa unatoka patupu kama kufanya kazi ya upupu.
Makonda ndio Spika ajaye kwenye bunge la chama kimoja......hutaki acha!
Naona Ole Sendeka huyooo Simanjiro. Kesho naona kuna uteuzi tena yani tutaapisha mpaka tuchoke.
.
.
.
.
Yametimia ...ama kweli mkuu kaamua
Ungeanza wewe kumpunguzia mamlaka mkeo na kumkasimisha dada wa kazi, ingependeza kabisa.. Nyumbani kwako pangenoga sana.
Vyeti ni makaratasi tu!Kwani nafasi za uspika haihitajiki kuwa na vyeti?
Hata mie nimeshangaa kamenawili sahizi kaachia , rais nafasi nyingine awe anawapa wataalamu ila hata wao wakinogewa ndiyo basi, hao walio achia nafasi zao wasiteuliwe tena mtu akikosa ubunge akalime mpungaNakahurumia kale kakijana kaliko okotwa BAVICHA na kupewa ukuu wa wilaya Dodoma eti nako hakajaridhika! Haka ndiko ka kukala kichwa fastaa!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yeye alifuatwa na wana nchi haaa haaaYeye anasisitiza watu kuridhika.. ingekuwa kuridhika ni ishu yy angeridhika na UALIMU.
Sasa uupate, sio umetumia pesa zako kisha unaukosa hapo ndipo kujifunza kuimba kwaya huwa kuna anzaUkuu wa mkoa hauna job security mda wwte unatumbuliwa,ubunge pesa nyingi hauna hofu ya kutumbuliwa ..uchangie usichangie bungeni wewe ni bata tu......
Kinachonishangaza mimi ni vijana wa CDM kutangaza watia nia wa ccm huku tukiwa hatuwafahamu watia nia wa CDM.Naona Ole Sendeka huyooo Simanjiro. Kesho naona kuna uteuzi tena yani tutaapisha mpaka tuchoke.
Hakuna kuridhika wala nini kudadadadeki. Vyeo vyenyewe unatumbuliwa unatoka patupu kama kufanya kazi ya upupu.
Vyeti ni makaratasi tu!
Kinachonishangaza mimi ni vijana wa CDM kutangaza watia nia wa ccm huku tukiwa hatuwafahamu watia nia wa CDM.
Mnakwama wapi nyie ?