INAUZWA Ofisi ya movie, computer 21 telabytes inauzwa

INAUZWA Ofisi ya movie, computer 21 telabytes inauzwa

Hapo kwa sisi tunaojua hii mambo ya movie mwamba anauza bei ya hasara....iyo 1m ni bei ya disk tu tena Tupu....njoo machine mixer kioo hakika mwamba yamemsibu ukipigiwa mahesabu ya izo bei ya movie tu kwangu uje na 500k ndio nikujazie izo 20tb.Kwangu Mimi bei ya haki kabisa hapo vyote vina thamani ya 2Ml.
Pia kujaza izo 20 tb sio kazi ya siku moja hapo kama unajaza bila kuzima mashine usiku jua wiki mbili ukizima wiki 4 .
Asante sana Mkuu,nimefurahi kuoata Comment ya mtu anaejua hii biashara.

Ningeandika mimi uliyo yaandika ningeonekana navuta upande wangu.

Wanakuja watu wananiambia eti niwapunguzie Bei,ukweli kutukana siwezi ila sijibu msg zao.

Kwa wewe mkuu upo cheap sana Mimi 20tb simjaziii mtu kwa 500k hiyo biashara waje kwenu tu kwakweli.

Acha Niuze hiii nitatue matatizo yangu lakini ipo siku kuna mtu atauona huu uzi atajuta sana kwanini hakuchukua maamuzi wakati huu kauona.
 
Kwa Muhitaji Asisite nitafuta namba zangu za simu zinapatikana wakati wote na whatsapp Pia.

BEI haipungui tafadhali wenye laki 9,8,7 na wengineo Tuelewe bei ya Bidhaa kabla hatujafatana PRIVATE.

NO DISCOUNT.
 
Ofisi bado ipo Mashine ipo.Karibuni
 
Kama Hukuona Tangazo Nitaendelea kulipandisha Juu mara kwa mara na kila siku.
 
Siku Nyingine Tena kama Ulikua unahitaji OFISI basi hii hapa umeipata
 
Biashara Bado ipo vijana wenzangu,Kwa muhitaji usisite kuniuliza.
 
Back
Top Bottom