KWELI Ofisi ya Msajili yawasihi CHADEMA kusitisha Mkutano uliopangwa kufanyika Julai 23, 2023 huko Bulyaga, Temeke

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Hatujawahi ona mkutano uliojaa mapdri na maasikofu Kama mkutano uliotarajia kufanyika leo, ulileta maswali mengi sana, tunashukru kwa kufutwa Tunaomba wahusika wahojiwe walikuwa na maana gani
Mkutano uko palepale, na hakuna Katazo la mapadri kuhudhuria mkutano popote. Kosa ni kufanya siasa ndani ya nyumba ya ibada. Safari hii mtajua ukweli una nguvu kiasi gani.
 
Kwanza huyu mutungi sio mtanzania ni kokolo la kigeni lenye mwamvuli wa kitanzania
 
Hatujawahi ona mkutano uliojaa mapdri na maasikofu Kama mkutano uliotarajia kufanyika leo, ulileta maswali mengi sana, tunashukru kwa kufutwa Tunaomba wahusika wahojiwe walikuwa na maana gani
Mbona tumelala buriaga since jana, we shukur ila sisi tunamkutano leo
 
Chawa tulia, ngoja watu wakasikie ukweli msiotaka waujue. Bakini mkisomba wale wajinga waliokuwa brainwashed na ule ushirikina uitwao mwenge wa uhuru ili kuwajaza ujinga.
Hao maaskofu mmewalipa shilingi ngapi kuja kwenye huo mkutano wenu?
 
Matusi ya nini? Wananchi hawawaamini tena chama chenye kuwagawa kwa misingi ya dini.
Nadhan matusi yanawafaa, watanzania tunahitaji platform ya kutusemea nyie mko bize kutufanya tusiwe na platform ya kutusemea na tubaki kubuluzwa na CCM.

mwanzo mliishambulia NCCR na kuingiza mamluki akina mrema ili kukidhohofisha na mkafanikiwa,

ikaja CUF mkamtia Lipumbafu kukisambaratisha almost kikafa,

sasa mnapotoka kukishambulia CDM ambayo ni platform ya kutusemea sisi dhaifu ni wazi tutawachukia na kuwaona mu wa ovyo zaidi ya yule mbwajike aka malaya.

Karibu clubhouse aka saiti ya watanzania usikie watu wanazidi kuujaza uwanja kwa ajili ya mkutano wa leo mnaotamani husiwepo nyie machawa wa samia
 
Matusi ya nini? Wananchi hawawaamini tena chama chenye kuwagawa kwa misingi ya dini.
Nadhan chama cha kidini aukifahamu.

Mliitumia kamati ya amani iliyojumuisha masheih na mapadri akina sheikh Alhadi ambayo ilienda mpaka misikitini na makanisani kuipigia kampeni CCM hapo hamkujitokeza kuwalaani ili kuilinda nchi dhidi ya udini lkn leo ndio mmekua na upendo kwa nchi dhidi ya udini??.

Ovyo kabisa nyie son of the bitch
 
Hatujawahi ona mkutano uliojaa mapdri na maasikofu Kama mkutano uliotarajia kufanyika leo, ulileta maswali mengi sana, tunashukru kwa kufutwa Tunaomba wahusika wahojiwe walikuwa na maana gani
Umelishwa ujinga na wewe umeamini? Tangu lini msajili wa vyama anaruhusu au kuzuia mikutano?

Viongozi wa dini kwani siyo raia? Ulalamike kama kwenye mkutano huo wa siasa wataenda kuzungumza mambo ya dini.

Ujinga wa namna hii ukiendekezwa, kuna wakati mkutano ukifanyika, wajinga watataka wahudhuriaji wote waandikishe dini zao ili wengi wakiwa wa dini moja, basi huo uonekane ni mkutano wa dini.
 
INFACT CHADEMA INATAKIWA KUFUTWA,IMESHAKIUKA KANUNI ZA MSINGI,NA MIIKO YA USAJILI,ZA KUTOCHANGANYA SIASA,DINI,NA KUCHOCHEA MGAWANYIKO,KATI YA UTANGANYIKA NA UZANZIBAR HUKU WAKIFAHAMU FIKA YA KWAMBA TUMEUNGANISHWA SOTE NA KUWA WATANZANIA.
 
Viongozi wa dini wangebakia makanisani hukohuko
 
WENYE AKILI KUBWA TULIJUA TU KUWA CCM HAITAKUBALI HUO MKUTANO UFANYIKE KWANI UTAWAANIKA JUU YA SUALA ZIMA LA MKATABA MBOVU WA BANDARI NDIO MAANA WAMEANZA KUZUSHA MAMBO YA UDINI KABLA HATA YA MKUTANO KUFANYIKA
WAMEPELEKA VIJANA WAKAFANYE FUJO ILI IONEKANE NI CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…