Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
Bebi wako yuko wapi leo...?
Si unamuona yuko bize eti anatafuta "wifey" (what the heck does this mean?). Mimi yangu macho tu .... lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bebi wako yuko wapi leo...?
Si unamuona yuko bize eti anatafuta "wifey" (what the heck does this mean?). Mimi yangu macho tu .... lol
Jukumu la kwanza ni kujua kinadharia; Waziri Mkuu hawezi kuzungumzia deployment ya majeshi yetu mahali popote with authority. Hivyo kusema Tanzania iko tayari kupeleka majeshi halafu unamnukuu Waziri Mkuu ni kuonesha hujui majukumu na nguvu za Waziri Mkuu.
Nilishasema tuna matatizo kutoka kwa waandishi wa habari wenyewe!!! Makanjanja wengi!!! haiwezekani gazeti kama lile lifanye oversight kama hiyo, kwa maana nyingine yapo mengine yanayopotoshwa Tanzania?
Mwanakijiji,
The presented notion is that Pinda is a very senior government official and even though he is not the commander in chief, he is above the minister of defence in the food chain, therefore very influential, in the know and can sway and should know our stand on the matter.
Tatizo kubwa zaidi kuliko Pinda ni suala zima la je, tuna a well formulated foreign policy? Au ndiyo mambo ya bendera kufuata upepo?
Maana kama tuna a well formulated foreign policy haijalishi kama ni Pinda, Waziri wa Ulinzi,Mkuu wa majeshi au Mwenyekiti wa chama tawala au hata mtu ambaye hana mamlaka over jeshi in the administration, watu watakuwa hawahitaji hata kuvutana mashati kabla ya kuonana na waandishi wa habari, kwa sababu Waziri Mkuu sio tu atajibu swali, bali atajibu swali na ku quote foreign policy ya Tanzania na ma charter tuliyo members na kwa nini tuko memberz nz objectives zake na ma clause yake anakupa jibu unaburudika.
Sio sasa viongozi wanakupa majibu unaona kama yanatoka vichwani mwao tu.Ndiyo maana mpaka leo hatufahamu kuwa Azimio la Zanzibar la CCM limekuwa amended au hapana, maana muungwana kasema msemo uliolipiga stop kwenye miiko ya uongozi essentially, lakini kalisema kwa kauli yake tu, hakuna kikao chochote kilichofanyika hivyo linakosa nguvu.
Kwa hiyo hii ni cancer kubwa kuliko Pinda.It is a systemic malady.
Mwanakijiji,
The presented notion is that Pinda is a very senior government official and even though he is not the commander in chief, he is above the minister of defence in the food chain, therefore very influential, in the know and can sway and should know our stand on the matter.
Tatizo kubwa zaidi kuliko Pinda ni suala zima la je, tuna a well formulated foreign policy? Au ndiyo mambo ya bendera kufuata upepo?
Maana kama tuna a well formulated foreign policy haijalishi kama ni Pinda, Waziri wa Ulinzi,Mkuu wa majeshi au Mwenyekiti wa chama tawala au hata mtu ambaye hana mamlaka over jeshi in the administration, watu watakuwa hawahitaji hata kuvutana mashati kabla ya kuonana na waandishi wa habari, kwa sababu Waziri Mkuu sio tu atajibu swali, bali atajibu swali na ku quote foreign policy ya Tanzania na ma charter tuliyo members na kwa nini tuko memberz nz objectives zake na ma clause yake anakupa jibu unaburudika.
Sio sasa viongozi wanakupa majibu unaona kama yanatoka vichwani mwao tu.Ndiyo maana mpaka leo hatufahamu kuwa Azimio la Zanzibar la CCM limekuwa amended au hapana, maana muungwana kasema msemo uliolipiga stop kwenye miiko ya uongozi essentially, lakini kalisema kwa kauli yake tu, hakuna kikao chochote kilichofanyika hivyo linakosa nguvu.
Kwa hiyo hii ni cancer kubwa kuliko Pinda.It is a systemic malady.
Kweli kabisa, na matatizo hayo ya system, ndio yamewafanya pinda na waandishi wote wajiingize kwenye matatizo kama haya. Ukiangalia kwa makini alichokisema Pinda alikuwa anajichanganya kwa kukosa basis ya what he was saying (hiyo well formulated foreign policy), Waandishi nao kwa haraka haraka zao, na kwa kukosa basis ykama reference ya statement ya mukulu, wakaibuka na yao
Hapana Pundit;
Hili liko wazi sana kwa wafuatiliaji wa utawala wa taifa letu... na hata hapa JF tulishawahi zungumzia....
Kwa taifa letu Waziri Mkuu anashughulikia zaidi mambo na day 2 day activities za serikali zaidi zikiwa za ndani ya nchi... ndio maana tawala za mikoa ziko kwake, ... wizara kama za habari, utangazaji etc.
Rais wa nchi... huwa ana maamuzi makubwa kwenye mambo ya nje, uchumi, fedha na mipango, ulinzi na vyombo vya ulinzi (amir jeshi mkuu) etc....
Ukiangalia mfumo vizuri wa Serikali ni rahisi kung'amua hili mkuu!!! mgawanyo wa Mamlaka ya Rais na Waziri mkuu uko hivyo!!!
Ndio maana ni rahisi na makamu wake ndio wanaoenda nje ya nchi zaidi kuliko waziri mkuu... kumbukumbu ziko hata kwenye utawala wa awamu ya tatu... kumbukeni safari ile ya Mh. Sumaye aliyetumia fedha nyingi kule marekani baada ya kupata ka-trip ka-nje...
Akatumia almost bugdget yake yote ya safari za nje.
Mwisho: Ni Amir Jeshi mkuu tu ndiye mwenye mamlaka ya kuongelea military deployment yoyote, waziri mkuu, waziri wa mambo ya nje wanaweza tu kuelezea zaidi pale ambapo amir jeshi mkuu ameshaongelea au kuamua kwenye jambo fulani la kiusalama!!! Huhitaji kwenda TSJ kujua hili, Wizara ya Ulinzi ina mawasiliano madogo sana na Ofisi ya Waziri mkuu. Kama ilivyo Wizara ya Utawala Bora etc...
Nilishasema tuna matatizo kutoka kwa waandishi wa habari wenyewe!!! Makanjanja wengi!!! haiwezekani gazeti kama lile lifanye oversight kama hiyo, kwa maana nyingine yapo mengine mengi yanayopotoshwa hapa Tanzania?
Issue tu ni kwamba wahusika hawajaleta tamko la kukanusha kama ofisi ya waziri mkuu ilivyofanya
Pundit, kwenye hili tatizo siyo kile ambacho Pinda alisema kwani alisema something within his domain (very vague to be honest) lakini gazeti la the Citizen lilimnukuu vibaya kabisa na kimsingi kumfanya aonekane very irresponsible kitu ambacho kilisababisha ofisi ya Waziri Mkuu itaoe maelezo.