- Thread starter
- #41
Hapa lipo somo kubwaKiendacho kwa mganga hakirudi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa lipo somo kubwaKiendacho kwa mganga hakirudi!
Mshauri,aende Utumishi HQ,au TAMISEMI-DodomWa
Ushauri huu tunaupokea kwa mikono miwili.Mshauri,aende Utumishi HQ,au TAMISEMI-Dodoma.
Tumeona Nyaraka zilizoenda hadi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa na bado hakusaidiwa kabisa. Nyaraka zote kapeleka na zimepokelewa kwa ushahidi wa wazi kabisa.Aende kwa mkuu wa wilaya na amsaidie mara moja na alimalize hili tatizo haraka. Akishindwa kulimaliza ndani ya siku saba nendeni kwa mkuu wa mkoa.
Wakishindwa kulimaliza tatizo hili waambie wote ndani ya siku 30 waanze kutafuta kazi za kufanya.
Asante sana mkuu
OR TAMISEMIOR TAMISEMI, pitieni hapa.
Naona mahakamani ndipo atapata haki yake kwa urahisi amtagute wakili msomi Mh KibatalaMbona haujatuambia hiyo ofisi yenu aliyofika ni ipi (ina wadhifa gani).
Anyway, siyo wakurugenzi au maafisa utumishi tu, kwa ujumla Luna baadhi ya watu wanapopata nafasi ya uongozi hujiona miungu watu, na hawa ktk utumishi Tz ni wengi sana na ndiyo maan wengine hufa vifo vya ajabu.
Huyo atoke huko kijijini arudi Sumbawanga mjini apambanie haki yake, ikiwezekana aandike barua kwa waajiri wake ngazi za juu kuhusu sakata hili. Au atafute mwanasheria awapeleke mkurugenzi na huyo afisa utumishi aliyehama mahakamani ili aweze kupata haki yake na stahiki zake zote za nyuma atalipwa.
Au akamuone mwenyekiti wa halmashauri ili suala hilo mkurugenzi akalitolee ufafanuzi kwenye vikao vya madiwani. Nina hakika ataambiwa alishughulikie Mara Mona.
Ok. AsanteNaona mahakamani ndipo atapata haki yake kwa urahisi amtagute wakili msomi Mh Kibatala
Niliwaza hivi pia.Mshauri,aende Utumishi HQ,au TAMISEMI-Dodoma.