johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kumekucha tena.
Niko hapa Kinondoni Mkwajuni aisee watu wameamua maana siyo kwa umati huu. Naambiwa watia nia wamefika hapa tangu saa 10 Alfajili kuwahi nafasi ili ofisi zikifunguliwa wawe wa mwanzo.
Ngoja nijaribu kupiga kapicha niwatupie hapa.
Maendeleo hayana vyama!
Niko hapa Kinondoni Mkwajuni aisee watu wameamua maana siyo kwa umati huu. Naambiwa watia nia wamefika hapa tangu saa 10 Alfajili kuwahi nafasi ili ofisi zikifunguliwa wawe wa mwanzo.
Ngoja nijaribu kupiga kapicha niwatupie hapa.
Maendeleo hayana vyama!