Uchaguzi 2020 Ofisi za CCM wilaya ya Kinondoni watu wamepanga foleni ndefu wakisubiri kuchukua fomu

Uchaguzi 2020 Ofisi za CCM wilaya ya Kinondoni watu wamepanga foleni ndefu wakisubiri kuchukua fomu

Wengi wao wanajua ubunge hawawezi kupata ila target Yao Ni nafasi za uteuzi baada ya kukosa kuteuliwa kuwa mgombea. Watu wanaishi kwa historia maana takwimu zinaonyesha kuwa miaka ya nyuma Waliotia Nia Kisha wakakosa ubunge wamekuwa wakipewa nafasi za uteuzi. Na hii ndo point kubwa hivyo hayo mafuriko yasikupe tabu. Over to you.

Watakuwa wamekosea. Teuzi nyingi zilifanywa kimkakati ili kuondoa waliokuwa wa JK ili JPM aanze na timu yake. Teuzi hizo nyingi bado zimejazwa, labda waombee walio katika nafasi hizo waende kinyume na matakwa ya JPM hasa katika uchaguzi huu.

Kinachosikitisha ni idadi ya watia nia kuzidi hata idadi ya nafasi kwa ujumla wake. Ubunge imekuwa ni chanzo cha kipato. Professions zimekuwa nyuma!
 
Kumekucha tena.

Niko hapa Kinondoni Mkwajuni aisee watu wameamua maana siyo kwa umati huu. Naambiwa watia nia wamefika hapa tangu saa 10 Alfajili kuwahi nafasi ili ofisi zikifunguliwa wawe wa mwanzo.

Ngoja nijaribu kupiga kapicha niwatupie hapa.

Maendeleo hayana vyama!
mzee mgaya anasemaje?
 
Ubunge umefanywa sio uwakilishi tena ni sehemu ya kuongeza kipato
Mbaya zaidi CCM inatumia mwanya huo wa kuingia mjengoni kuwahadaa Watanzania. Mafao na marupurupu ya wanasiasa ni kufuru kwa sababu wao ndio decision makers na wantumia mwanya huo kujinufaisha.Imefikia hatua Watanzania wengi wanakimbia/watakimbia gani zao kuwa wanasiasa,walipo siasani wanakuambia ukitia nia unatumbuliwa na ukiwa katika utumishi wa umma hauruhusiwi kujihusisha na siasa.Wakati huo huo kwa wanaotia nia wengi wanatoka katika nafasi za utumishi wa umma.Hilo halikwepeki kwa sababu huko ndiko walipo wasomi,tofauti na tuna to amino she a.Watumishi wa umma ni Watanzania, wana haki ya kulitumikia Taifa lao katika nyanja zote.Kwa nini wanazibiwa nafasi na wanasiasa waliowahi kuwa watumishi wa umma kabla.Ukiingia huko siasani unasahau ulikotoka kabla ya kuingia peponi?
Haya maajabu ya aina hii yanapatikana Tanzania pekee.Haki ni Haki,Tanzania ni Yetu Sote na Tunatakiwa kuwa Fair,Free as long as we abide to The People's Constitution.
 
Kumekucha tena.

Niko hapa Kinondoni Mkwajuni aisee watu wameamua maana siyo kwa umati huu. Naambiwa watia nia wamefika hapa tangu saa 10 Alfajili kuwahi nafasi ili ofisi zikifunguliwa wawe wa mwanzo.

Ngoja nijaribu kupiga kapicha niwatupie hapa.

Maendeleo hayana vyama!
Wamevaa barakoa?
 
Wengi wao wanajua ubunge hawawezi kupata ila target Yao Ni nafasi za uteuzi baada ya kukosa kuteuliwa kuwa mgombea. Watu wanaishi kwa historia maana takwimu zinaonyesha kuwa miaka ya nyuma Waliotia Nia Kisha wakakosa ubunge wamekuwa wakipewa nafasi za uteuzi. Na hii ndo point kubwa hivyo hayo mafuriko yasikupe tabu. Over to you.

Wanajidanganya. Leo siyo jana.
 
Kumekucha tena.

Niko hapa Kinondoni Mkwajuni aisee watu wameamua maana siyo kwa umati huu. Naambiwa watia nia wamefika hapa tangu saa 10 Alfajili kuwahi nafasi ili ofisi zikifunguliwa wawe wa mwanzo.

Ngoja nijaribu kupiga kapicha niwatupie hapa.

Maendeleo hayana vyama!
vip wewe hujaunga foleni au unasubiri uteuzi
 
Kumekucha tena.

Niko hapa Kinondoni Mkwajuni aisee watu wameamua maana siyo kwa umati huu. Naambiwa watia nia wamefika hapa tangu saa 10 Alfajili kuwahi nafasi ili ofisi zikifunguliwa wawe wa mwanzo.

Ngoja nijaribu kupiga kapicha niwatupie hapa.

Maendeleo hayana vyama!
Bwashee, kapicha bado tu masaa mawili yamekatika?😂😂😂😂 Okota picha yoyote tu tutaamini😁
 
1594797086371.png
 
Ajira zenyewe hamna, kwanini tusijaribu bahatii wakati watu tumezoea interview za watu buku kwawani nafasi moja?
 
Wengi wao wanajua ubunge hawawezi kupata ila target Yao Ni nafasi za uteuzi baada ya kukosa kuteuliwa kuwa mgombea. Watu wanaishi kwa historia maana takwimu zinaonyesha kuwa miaka ya nyuma Waliotia Nia Kisha wakakosa ubunge wamekuwa wakipewa nafasi za uteuzi. Na hii ndo point kubwa hivyo hayo mafuriko yasikupe tabu. Over to you.
Na huo uteuzi hawapati maana magu amestuka sasa hivi anateua wakuu wa .idara tu na uchaguzi ukipita tu ndio utaona magu makada hateui tena
 
Kumekucha tena.

Niko hapa Kinondoni Mkwajuni aisee watu wameamua maana siyo kwa umati huu. Naambiwa watia nia wamefika hapa tangu saa 10 Alfajili kuwahi nafasi ili ofisi zikifunguliwa wawe wa mwanzo.

Ngoja nijaribu kupiga kapicha niwatupie hapa.

Maendeleo hayana vyama!
Ulifanikiwa kumuona Mtulia?
 
Back
Top Bottom